Macho yako yanaona kama mimi? Mimi naona kama DSM fursa za kupiga pesa ni nje nje

Itakula kwako mm ninaye ndg aliyefilisika kwa biashara hzo za mazao zamani k/koo shimoni ilipoitwa k/koo,watu walipiga pesa chafu wakatajirika ila wale waliojipanga kila idara ,kama ujajipanga usiingie kwnye biashara za mazao uchawi mwingi sana watu wanapiga kafala kubwa kubwa.
Daaah hii inaleta ugumu sana kwa watu kuingia ktk hizi mishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kaleta fursa, watu wameleta kejeli tena 90% walioleta kejeli ndo wale wanaonzishaga thread za "NINA (KIASI FLAN) NIFANYE BIASHARA GANI?"
Hao wanao comment ndio wenye uzoefu baba usiongee kinadhalia,kwenye nyeusi tuseme nyeusi na nyeupe tuseme nyeupe hakuna kupepesa mambo,mfumo unamnufaisha dalali kuliko mkulima na mfanya biashara wa kati.
 
Wajuaji walishindwa ku concentrate na uzi,wakaaza kum dhihaki mtoa mada, mbona biashara hii kuna watu wanafanya!!.Ilitakiwa watu wafikirie challenges za hii business na namna ya ku tackle.Sasa mtu anakuja kuongelea vitu kama "uchawi",unajuaje labda na yeye anaamini katika "kujidhatiti".Issue ilikuwa ni kumpa changamoto za usambazaji/uuzaji na logistics nyinginezo
 
Wajuaji walishindwa ku concentrate na uzi,wakaaza kum dhihaki mtoa mada, mbona biashara hii kuna watu wanafanya!!.Ilitakiwa watu wafikirie challenges za hii business na namna ya ku tackle.Sasa mtu anakuja kuongelea vitu kama "uchawi",unajuaje labda na yeye anaamini katika "kujidhatiti".Issue ilikuwa ni kumpa changamoto za usambazaji/uuzaji na logistics nyinginezo
Changamoto ndio hzo na uchawi nao upo tena sana tu,wee ulitaka tumperembe perembe mleta uzi.Wakati tunasoma biashara vyuoni maprofessa walitufundisha tu biashara ila ukija field ndio unagudua kwamba hata professor wako aliyekufundisha biashara hakuwa mfanya biashara so kuna mengi hakukufundisha.
 
Sasa ulitaka nizungumzie wanawake wenye makalio makubwa?? Hata mtu wa Dar akienda mkoani ataziona fursa na kubaki kinywa waz
Mkoani fursa zipo ila hela sio nyingi kama Dar!

Changamoto iliopo ndio hio!
Kutengeneza laki 1 dar ni kwepesi kuliko kutengeneza pesa hio hio kwenye baadhi ya mikoa ila pia laki hio moja kutosheleza mahitaji yako mkoani ni kubwa sana tofauti na DSM.

Ukiweza kuwa stinji kwa Dar ni rahisi sana kufanya maendeleo maana ukusanyaji wa pesa nyingi ni rahisi tofauti na mkoani ambapo unakusanya slowly.
 
Kuna Jamaa Yangu Mmoja Baada Ya Kuhitimu Chuo Alikuwa Na Mihemko Sana Kama Hii.

Akatumia Akiba Yake kwenda Morogoro, Akanunua Mbuzi Wa Kutosha Akakodi Gari Na Kuwaleta Mpaka Dar, Pugu Mnadani.

Alipofika Tu Kumbe Madalali Wanamsoma, Yeye Anajua Ni Kuuza Tu Mzigo Na Kusepa.

Madalali Walivyojua Kama Asipowauza Mbuzi Siku Hiyo Hana Sehemu "zizi" La Kwenda Kuwaweka Pending, Wakamsikilizia, Ilipofika Jioni Wakawa Wanamtajia Bei Wanayotaka Wao.

Aliwauza Kwa Bei Ya Hasara, Hana Hamu Tena !
🤣🤣🤣🤣🤣 Usiombe ile moment umefika sokoni huna moja wala mbili za hio biashara kmmmae. Movie inaanza kila gunia linatakiwa lilipiwe 600 ya ushuru, kulaza gunia dagoni ni 200 kwa siku.

Nakumbuka niliagiza mzigo wa kitungu u toka Arusha. Niliemtuma hakukagua akavalishwa vitunguu gunia 6 chenga tupu. Mzigo ukawa unanitesa kwanza ulfungwa kwenye viroba ikabidi kuufaulisha kwenye magunia. Hapo sijaingiza hata 100 mzigo mara ukaanza kuota ndani ya gunia joto la dar. Aisee nilijuta.

Nilishuhudia laki 8 yangu inapukutika kama maji pale sterio! Stress niliokuwa nayo ilinibidi niwe nadamka saa 10 kwenda kumwaga mzigo mezani aisee nipambanie kuuza kitunguu kelele mingi kama konda. Bahati nilikuwa na Aunt yangu pale sokoni akawa ananipa emotional support. Nilichofanikiwa kuokoa ni 110,000 na gunia moja na nusu. Kilichotokea na hio hela nayo ilipotea.
 
Mkuu Mkaruka

Jamaa yako ilitakiwa atumie mbinu za kijasusi, angeenda Moro akanunua mbuzi wanne then akaenda nao pugu (hao mbuzi ni sample ya kupata detail jinsi biashara inavyofanyika) then akajifanya anawauza (hapo ni Aidha apate faida au loss), angeusoma vizuri mchezo kama ni mjanja angepata na connection kabisa
Kuna Jamaa Yangu Mmoja Baada Ya Kuhitimu Chuo Alikuwa Na Mihemko Sana Kama Hii.

Akatumia Akiba Yake kwenda Morogoro, Akanunua Mbuzi Wa Kutosha Akakodi Gari Na Kuwaleta Mpaka Dar, Pugu Mnadani.

Alipofika Tu Kumbe Madalali Wanamsoma, Yeye Anajua Ni Kuuza Tu Mzigo Na Kusepa.

Madalali Walivyojua Kama Asipowauza Mbuzi Siku Hiyo Hana Sehemu "zizi" La Kwenda Kuwaweka Pending, Wakamsikilizia, Ilipofika Jioni Wakawa Wanamtajia Bei Wanayotaka Wao.

Aliwauza Kwa Bei Ya Hasara, Hana Hamu Tena !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mkaruka

Jamaa yako ilitakiwa atumie mbinu za kijasusi, angeenda Moro akanunua mbuzi wanne then akaenda nao pugu (hao mbuzi ni sample ya kupata detail jinsi biashara inavyofanyika) then akajifanya anawauza (hapo ni Aidha apate faida au loss), angeusoma vizuri mchezo kama ni mjanja angepata na connection kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mwenye mihemko ya kichuo hawezi kuwa na akili hiyo Mkuu.

Ukiwa chuo unaona kama mtaani kote kumejaa wajinga, hawaoni hizo fursa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Usiombe ile moment umefika sokoni huna moja wala mbili za hio biashara kmmmae. Movie inaanza kila gunia linatakiwa lilipiwe 600 ya ushuru, kulaza gunia dagoni ni 200 kwa siku.

Nakumbuka niliagiza mzigo wa kitungu u toka Arusha. Niliemtuma hakukagua akavalishwa vitunguu gunia 6 chenga tupu. Mzigo ukawa unanitesa kwanza ulfungwa kwenye viroba ikabidi kuufaulisha kwenye magunia. Hapo sijaingiza hata 100 mzigo mara ukaanza kuota ndani ya gunia joto la dar. Aisee nilijuta.

Nilishuhudia laki 8 yangu inapukutika kama maji pale sterio! Stress niliokuwa nayo ilinibidi niwe nadamka saa 10 kwenda kumwaga mzigo mezani aisee nipambanie kuuza kitunguu kelele mingi kama konda. Bahati nilikuwa na Aunt yangu pale sokoni akawa ananipa emotional support. Nilichofanikiwa kuokoa ni 110,000 na gunia moja na nusu. Kilichotokea na hio hela nayo ilipotea.
hukutaka mzigo wako kutuachia sisi madalali
 
Kuna Jamaa Yangu Mmoja Baada Ya Kuhitimu Chuo Alikuwa Na Mihemko Sana Kama Hii.

Akatumia Akiba Yake kwenda Morogoro, Akanunua Mbuzi Wa Kutosha Akakodi Gari Na Kuwaleta Mpaka Dar, Pugu Mnadani.

Alipofika Tu Kumbe Madalali Wanamsoma, Yeye Anajua Ni Kuuza Tu Mzigo Na Kusepa.

Madalali Walivyojua Kama Asipowauza Mbuzi Siku Hiyo Hana Sehemu "zizi" La Kwenda Kuwaweka Pending, Wakamsikilizia, Ilipofika Jioni Wakawa Wanamtajia Bei Wanayotaka Wao.

Aliwauza Kwa Bei Ya Hasara, Hana Hamu Tena !
hapo ndo akajifunza nn maana ya subira ..papara mbaya Sana

One love
 
Nimesoma hii mada na kupitia comments za watu, mbali na kujifunza mambo mengi pia nimecheka sana. Full burudani.

Kweli biashara sio hesabu ya 1+1=2 bali biashara ni 2+x-y=z÷3.
 
Kwenye research kuna kitu kinaitwa Research Problem nia kubwa ya Research problem ni kujaribu kuangalia ni vitu gani ama matatizo gani yanaleta changamoto mpaka Research ihitajike sasa basi ni bora kuanisha changamoto ni zipi na njia ya kupambana nazo.
 
Wazo ni kitu muhimu sana kwenye biashara unafikiri mtu aliyeandaa project ya azam juice ya ukwaju hakujua zile ups and down hebu tufikiri tofauti
 
Back
Top Bottom