1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
Sawa, ila usiyaruhusu hayo mapungufu yakunyime furaha.Ukikutana na mtu hayaonei aibu mapungufu yake...by implication, ogopa his/her lever of self esteem (don't quote me wrong...sijasema kua mimi nina high level of self esteem. Naomba nieleweke)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna pahala nilisikia kwamba mwanamke eti ni rahisi kumvumilia mwanaume mwenye maumbile makubwa kuliko madogo.Umetudanganya sema shida nyingine ulotuficha. Mwanamke hawezi kukuacha kisa kibamia wewe sema labda una matatizo mengine ya kiuchumi.
Awe na kibamia afu anampenda kweli na vijisent sio haba hapo wataishi mileleKuna pahala nilisikia kwamba mwanamke eti ni rahisi kumvumilia mwanaume mwenye maumbile makubwa kuliko madogo.
Ahaa.!Awe na kibamia afu anampenda kweli na vijisent sio haba hapo wataishi milele
Asante kwa ushauri mzuri bro!Katika vyote ulivyoandika well and good najitahid kuacha kujudge judge vitu vidogo vidogo kwenye thread za watu, mi nilichoona hapo mkuu upo dilemma kujua kama kweli una kibamia au la. Don't stress nina mshkaji wangu yy yuko impotent + erectile dysfunctional ila akatatufa pesa + akanunua gari. Gari gari gari nimerudia 3 times, which type of virus did the japanese + the rest of cars manufacturing countries put in the car that cannot stop contacting women?
Achana na elimu na ukipanga ulionao nilichoona unapanda sana public transport, tafuta private car zen wewe na kibamia chako hamtaachwa kwa maneno ya kifudhuli kama mshikaji wangu ambae yeye hapigi mzigo ila eti mademu wanamlilia na anawaacha kwa mbwembwe.
Weka elimu pembeni kwanza! Mbona unakuja speed?? How come, pamoja na shombo zote zile ulizozitoa, afu all of a sudden you try to sound interested in dick size shit? How??Elimu imekusaidia nn kama unaulizwa swali badala ujibu na ww unauliza swali
Sent using Gun Trigger
Konfidensi kamz from KNOWING WHO YOU ARE. Rudia tena kusoma mpk utakapoelewa.Mwanaume unaanza kutafuta mashine za wanaume?
Dunia ina mambo
Kuna pahala nilisikia kwamba mwanamke eti ni rahisi kumvumilia mwanaume mwenye maumbile makubwa kuliko madogo.
Amuogeshe tu ambake maana kaamua kua chizi na yeye
KweliiiKuna pahala nilisikia kwamba mwanamke eti ni rahisi kumvumilia mwanaume mwenye maumbile makubwa kuliko madogo.
Oh kumbe, sorey sikujua kwa hiyo mzee baba wewe ni "mama"?Asante kwa ushauri, though it is of no need kwangu kwasabu sikuja hapa kwajili yakushauriwa juu yakiba100 changu
Sent using Jamii Forums mobile app
asije siku moja akaenda kugusa ili afanye uhakiki
Nimekuta nikiwafukiria machizi nilowahi kuwaona
Wala sina chuki, halafu sinaga chuki za hivyo mkuuKwanini unachukia usiemjua kwa mafanikio yake (ambayo, apparently inawezekana ata asiwe nayo kiukweli...pengine ni persona kwenye fairytale ili kufikisha ujumbe. What will your mama feel akijua kazaa jinga linalojikondesha kwa ku mind artificial characters in an artificial world (JF)?
Sent using Jamii Forums mobile app