Machizi wote wana maumbile ya kiume makubwa

IMG_20200503_120118.jpeg
IMG_20200503_120152.jpeg
IMG_20200503_120217.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika vyote ulivyoandika well and good najitahid kuacha kujudge judge vitu vidogo vidogo kwenye thread za watu, mi nilichoona hapo mkuu upo dilemma kujua kama kweli una kibamia au la. Don't stress nina mshkaji wangu yy yuko impotent + erectile dysfunctional ila akatatufa pesa + akanunua gari. Gari gari gari nimerudia 3 times, which type of virus did the japanese + the rest of cars manufacturing countries put in the car that cannot stop contacting women?

Achana na elimu na ukipanga ulionao nilichoona unapanda sana public transport, tafuta private car zen wewe na kibamia chako hamtaachwa kwa maneno ya kifudhuli kama mshikaji wangu ambae yeye hapigi mzigo ila eti mademu wanamlilia na anawaacha kwa mbwembwe.
Asante kwa ushauri mzuri bro!

Ila mi kaniacha kwa kejeli kwavile nilikua namsumbua. Alinifumania not less than 3 times, ko misamaha alonipa na uvumilivu alonao kwngu ndo vilimpandisha hasira na sumu zikamtoka...yy aliwekeza moyo wke kwangu akati mimi nlikua napita na njia zangu! (kiukweli, anastahili kutukana na kukejeli zaidi ya ivyo. I didn't do good to her at all!)

Ilo la yy kuniacha it's a fabrication, kwasabu in fact mm ndo nilimwachwa kwakua asubuh ilofuata baada yakunitupia maneno ya shombo mi nliamka kwnda job nkamwacha home, huku nyuma akachukua certs zangu zote kwanzia primary school, jkt mpk chuo afu akaandika barua kuuuubwa ya kuniomba msamaha kwakunikejel...na kwmba hakukusudia, kwamba ananiprnda sana, kwamba hatoweza kuniacha niwe mali yamwingne pa1 na kwamba nina kiba100 na nalala kwenye chumba kidogo ambamo ndani yake kuna ndoo za maji, viatu, kikabati, jiko, ndo ya chooni, n.k (kwa kifupi nilikua naishi na kulala store).

Kusema kweli kalinipenda sana kale kadada. Na kalichukua vyeti vyangu vyote kwavile kalijua kakiondoa mguu wake pale gheto kwngu (aka store) bhasi yy kuingia tena pale ni ndoto, so akajiongeza na kuamua kuchukua something valuable, kitu ambacho sitakaa nikaacha kiwe mikononi mwa mtu mwingne...akajua tu ntamtafuta nimwambia aje aniletee vyeti vyangu, au nimpigie sim nmwombe msamaha kwa kilichotokea so arudishe zile nyaraka.

Nilipovipata vyeti vyangu nikajiongeza...nikajisemea kimoyomoyo...km kashindwa kuogopa izi nyaraka za serikali, hatoshnda kuuchukua maamuzi yakunichoma sindani ya maji maskioni nikiwa nimelala usiku. Ko ndo nkaamua nimuache. But for the sake of story-telling I had to fabricate some kind of scenarios to make it tasty!
Ilitokea miaka msita ilopita. Cyo stori ya mwaka jana wala mwaka huu.
Now, ni mama wa watoto wangu uyo manzi...a happy life we live na kiba10 changu!

Mfungo mwema wa mwez mtukufu wa Ramadhani. Timizeni ibada hii mpate swawab na siha njema, In shah Allah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo alikuwa na sufuria kubwa. Cha msingi jitahid kutafuta wanawake wenye maumbo madogo na ambao hawajacharuka maana sio wote wenye maumbo ya mwili madogo na bondeni kidogo. Ile ni Kama barabara ya vumbi inatanuka kulingana na miguu ya wapitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini unachukia usiemjua kwa mafanikio yake (ambayo, apparently inawezekana ata asiwe nayo kiukweli...pengine ni persona kwenye fairytale ili kufikisha ujumbe. What will your mama feel akijua kazaa jinga linalojikondesha kwa ku mind artificial characters in an artificial world (JF)?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala sina chuki, halafu sinaga chuki za hivyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom