Machizi Muziki tukutane hapa..aisee hivi hawa JBL mbona balaa sana?

Damy Scotty

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
717
453
Habarini wakuu, asee nmebahatika kuiona product moja ya bluetooth speaker ya hawa jamaa wanaitwa JBL aisee hako kaspika kalivyo na sound inayotoka huwez amini its like a complete music system..ni balaa.

Leo ndo nmeamini Tanzania kuna vitu vingi sana vya ukweli ambavyo havitufikii na hii siyo hivi vifaa vya muziki tu bali vitu vingi sana..
Naona kuna kitu hakiko sawa yani mule hawanusi Sony, Lg wala Samsung..hatari sana hawa JBL.

Kadude kenyewe ni hako hapo
IMG_0015.JPG
 
Hutu tuspika bana hua ni shidaa.. Kuna twingine tunaitwa Bose Companion tuko tuwili tudogo tu ila unaweza pigia kwenye ukumbi wa harusi. Bei sasa ndio tatizo
 
15570861276425091928879643428816.jpg
Habarini wakuu, asee nmebahatika kuiona product moja ya bluetooth speaker ya hawa jamaa wanaitwa JBL aisee hako kaspika kalivyo na sound inayotoka huwez amini its like a complete music system..ni balaa.

Leo ndo nmeamini Tanzania kuna vitu vingi sana vya ukweli ambavyo havitufikii na hii siyo hivi vifaa vya muziki tu bali vitu vingi sana..
Naona kuna kitu hakiko sawa yani mule hawanusi Sony, Lg wala Samsung..hatari sana hawa JBL.

Kadude kenyewe ni hako hapo View attachment 966946
Sasa hiyo cha Mtoto ukisikia mziki wa JBL BOOM BOX ndo utajua nini maana ya Boom box
 
Jbl ni Kampuni ya kimarekani

iliyoenea ulaya, USA kwenyewe na Asia,
Kampuni mama inaitwa HARMAN INTERNATIONAL ,

Na ndiyo watengenezaji wa JBL, na HARMAN CARDON speakers

Siyo Bluetooth speakers pekee Bali pia wanatengeneza speakers za simu (Sony, Iphone) Headphones, Vifaa vya studio za kurekodi, Speakers za Magari_ Sub woofers, nk
Kwa ujumla vifaa vyao ni First class, haziingizi maji (water proof) ikianguka inadunda haipasuki,

Battery life inauwezo wa kudumu zaidi ya Masaa 10 mfululizo ukiwa una play mziki kwa sauti ya juu kabisa

Na zinauzwa ghali sana, headphones tu za waya za kawaida unaweza ambiwa 150k

Haziko kwa wingi huku Africa kwa maana ni watu wachache wanaoweza kumudu gharama za kununua

Pia wachina wametengeza feki zipo. Mtaani inapata hata kwa elf 30
 
mie pia ninayo ya laki 650,000 ila sio kama hiyo. Ya kwangu ni kubwa zaidi. Hao jamaa wana version nyingi tofauti tofauti
Mkuu hiyo ya kwako ya 650k ukilinganisha bass na Home theatre hizi ndogo mfano aborder IPI ina bass nzito?
 
Jbl ni Kampuni ya kimarekani

iliyoenea ulaya, USA kwenyewe na Asia,
Kampuni mama inaitwa HARMAN INTERNATIONAL ,

Na ndiyo watengenezaji wa JBL, na HARMAN CARDON speakers

Siyo Bluetooth speakers pekee Bali pia wanatengeneza speakers za simu (Sony, Iphone) Headphones, Vifaa vya studio za kurekodi, Speakers za Magari_ Sub woofers, nk
Kwa ujumla vifaa vyao ni First class, haziingizi maji (water proof) ikianguka inadunda haipasuki,

Battery life inauwezo wa kudumu zaidi ya Masaa 10 mfululizo ukiwa una play mziki kwa sauti ya juu kabisa

Na zinauzwa ghali sana, headphones tu za waya za kawaida unaweza ambiwa 150k

Haziko kwa wingi huku Africa kwa maana ni watu wachache wanaoweza kumudu gharama za kununua

Pia wachina wametengeza feki zipo. Mtaani inapata hata kwa elf 30
Kumbe JBL ni ndugu na Harman Kardon.. ndio maana balaa lao hua ni kubwa. Ila pia Bose hua nawakubali mnoo sema bei zao zimechangamka hatar
 
Habarini wakuu, asee nmebahatika kuiona product moja ya bluetooth speaker ya hawa jamaa wanaitwa JBL aisee hako kaspika kalivyo na sound inayotoka huwez amini its like a complete music system..ni balaa.

Leo ndo nmeamini Tanzania kuna vitu vingi sana vya ukweli ambavyo havitufikii na hii siyo hivi vifaa vya muziki tu bali vitu vingi sana..
Naona kuna kitu hakiko sawa yani mule hawanusi Sony, Lg wala Samsung..hatari sana hawa JBL.

Kadude kenyewe ni hako hapo View attachment 966946
Mweeeee
Nimeingia duka moja la SAMSUNG Posta nikakuta hii bidhaa nikaipenda, kuuuliza bei naaambiwa 850,000/=. Muuuzaji akanipa profile ya haka kadude si mchezo. Ngoja niendelee na Home Theatre hako hapana aysee
 
Back
Top Bottom