Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
kwa wale wapenzi wa hiphop mtakubaliana na mimi kuwa remix ya machizi mmeniroga ni bonge la ngoma ambayo humo ndani wamishirikishw roma pamoja na j mo nakuifanya ngoma iwe kali zaidi kuna michano yakufa mtu mule ndani Stamina anasikika akiichana WCB nakushaur Stamina toa video kali hii ngoma usiiache iendelee kusikilizw magetoni we ni msanii ambaye huwa unapigiwa shangwe stegini