Machinga wasisumbuliwe

Chaggabeibe

JF-Expert Member
May 26, 2016
246
339
1482216603061.jpg
 
Kuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
 
Kuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
Fix za mchana mchana. Kwa hiyo ukawapiga eeeh! We kweli noma
 
Kuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
Wale jamaa wanavuta bangi,wewe utakua unapuliza shisha, si kwa miguvu hiyo, ukawapangua pangua aah we kweli ni hatari atii! Nibgekua sijaolewa ningekuomba unioe hata mke wa 4
 
Wale jamaa wanavuta bangi,wewe utakua unapuliza shisha, si kwa miguvu hiyo, ukawapangua pangua aah we kweli ni hatari atii! Nibgekua sijaolewa ningekuomba unioe hata mke wa 4
Mpe tu sio lazima akuoe
 
Wale jamaa wanavuta bangi,wewe utakua unapuliza shisha, si kwa miguvu hiyo, ukawapangua pangua aah we kweli ni hatari atii! Nibgekua sijaolewa ningekuomba unioe hata mke wa 4
Mpe kidogo
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom