Me nashauri wafanye kwa ustaarabu, otherwise italeta taharuki, Mali kupotea, watu kuumizwa
Machinga wa Tanzania hataki ustaarabu, anataka virungu na akasome PGO aielewe
Me nashauri wafanye kwa ustaarabu, otherwise italeta taharuki, Mali kupotea, watu kuumizwa
Fremu leo zimedoda mikoa yote, ina maana Machinga wanashindwa kujiunga hata watatu watatu wakachukua fremu wakaripa Kodi?
Nchi imekuwa ya kipuuzi sana mama ntilie wanashindwa kujiunga wakatengeneza taasisi inayolipa Kodi na wakafanya derivali ya chakula kwenye maofisi mida ya mchana?
Mpaka wakae kila Kona ya mtaa. Ebu tuache ushamba basi
Nashauri Machinga wathibitiwe Kama wanagoma vibanda vyao vyote vichomwe hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiolipa Kodi, kufuata Sheria na katiba ya Nchi .
Mbaya zaidi kupoka haki za wengine hii haikubaliki hata kidogo lazima tuwe taifa la mfano.
Na mikoa yote ondoeni Machinga wenye mitaji mikubwa wakapange fremu wauze online bidaa zao wafanye derivali.
Wenye mitaji midogo watengewe viwanja vikubwa viwe Kama minada wafanye uko mbona kila mkoa unayo maeneo?
Makala nakushauri vunja kabisa kila kitu maana wabongo Ni wabishi Sana bila kuwavunjia hawataondoka kwa heri.
Tujenge Nchi tuache kufanya kila kitu siasa. Siasa ndio imetufikisha hapa tulipo.
Huna njaa! Huna shida wewe. Ukijaribu kuchangia jaribu kujiweka kwenye nafasi za hao majamaa.
Anayestahili kupewa kitambulisho ni mfanyabiashara mdogo yoyote aliye na mtaji wa -4000,000/=. Mengine hayo ni tafsiri yako.Machinga ni wale wanaozunguka na bidhaa mkononi wale ndio wapewe vitambulisho vya ujasiriamali lakini wale wanaojenga vibanda ni wakwepa kodi tu, wengi wana mitaji mikubwa wanastahili kulipa kodi haiwezekani wenye viduka uchwara na cafe mitaani walipe kodi eti kwa kuwa wamepanga fremu lakini wenye vibanda mabarabarani wao wapewe vitambulisho hiyo siyo haki.
Wa wao wakae standby kupigwa viberiti na petroli without hesitation huku mtaani..hatutacheka na mwizi.Mkuu, hao ndio wanarudi kitaa kutafuta pesa kwa ngeta!
Hivyo tukae mkao wa kutulia, tusubiri yajayo.
Nadhani kungekuwa na smooth transitiin ya maeneo wanayopaswa kufanyia biashara zao, na si kibabe kama ilivyokuwa leo vingunguti.
Yaani Samia inabidi akomae watu waondoke huko mabarabarani..kuna mmoja leo nimemsikia anasema amekopa 15m lakini biashara anafanya katikati barabarani kwenye kibanda cha maturubai..kama sio ujuha kuendelea kuwaacha hawa watu ni nini?..Machinga ni wale wanaozunguka na bidhaa mkononi wale ndio wapewe vitambulisho vya ujasiriamali lakini wale wanaojenga vibanda ni wakwepa kodi tu, wengi wana mitaji mikubwa wanastahili kulipa kodi haiwezekani wenye viduka uchwara na cafe mitaani walipe kodi eti kwa kuwa wamepanga fremu lakini wenye vibanda mabarabarani wao wapewe vitambulisho hiyo siyo haki.
HAIWEZEKANI watu wa kaliba tofauti muungane mkodishe fremu Kariakoo ya 1,000,000 muuze sidiria mwingine madera, haya mawigi nk hamtaelewana chumba kimoja, km mama ntilie tu kuuza chapati mwingine mihogo au maharage mtaa mmoja hawapatani sembuse MachingaHata hili la kujiunga ili wapate nguvu ya kuchuka fremu na walipe kodi unataka kubisha?
Sawa hilo nitalifanyia kazi je nakuziba njia ya watembea kwa miguuSi kuna wakati wa usafi na weeki ya mwisho ya usafi ..???.. uzibuwe basi!!
Mitaro imekua dampo yao ya kutupa takatakaWanaziba mitalo kwa kutupa maganda ya machungwa na Miwa
Huyo ni mkwepaji Kodi mzuri unawezaje kuchukua mkopo wa million 15 alafu unafanya biashara kwenye kibanda Cha maturubaiYaani Samia inabidi akomae watu waondoke huko mabarabarani..kuna mmoja leo nimemsikia anasema amekopa 15m lakini biashara anafanya katikati barabarani kwenye kibanda cha maturubai..kama sio ujuha kuendelea kuwaacha hawa watu ni nini?..