Rais Magufuli na karata ya machinga kuelekea 2020

Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA
Mkuu chakaza kitambulisho hivi vina picha au utambuzi wa alama za vidole? Je mi naweza muazima mdogo wangu akafanyia biashara,
 
Kijana, hiyo ndo kodi yenyewe sasa. Wameshindwa kuwakaba wamachinga mmoja mmoja kudai kodi, wameweka hii.

Wametumia ujanja kuwapata. Kwa hiyo machinga ukikutwa hauna kitambulisho ni sawa na duka kukutwa bila TIN na leseni ya biashara.

Jamaa janja kichizi. Huku machinga wanachekelea hawatalipa kodi kule CDM wanasema jamaa anakurupuka. Hahahaha

Habari ndo hiyo.
Nimependa mchango wako
 
Hivi nikiwa na mtaji wa mil. 16 na nilikuwa nalipa kodi, baada ya vitambulisho vya mkwepakodi, nikagawanya mtaji wangu Mara 4, nikawa na mtaji wa mil.NNE nne nikwagawia ndugu zangu mmoja tegeta, mwingine buguruni, Mimi manzese, na mwingine ilala,

alafu nikatumia sh 80,000 kununua kitambulisho cha mkwepa kodi,

Tayari TRA wameshapoteza mapato kibao
 
Mimi yangu macho ni kwenye box la kura 2020. Kuna uwezekano mkubwa wa Magu kupata ushindi wa asilimia 85%

Atapewa anazopenda na walio mpa hapo mwanzo, ila this time ataulizwa unataka ngapi ewe jiwe kuu? nao watampa kuzidi kidogo tu ya hizo!
 
Wewe kwa mwaka unaingiza sh ngap kushindwa kulipa elfu ishirini mimi nina ndugu zangu tu wengi wapo hapa dar wanauza hizo karanga kwa mwaka wana uwezo wa kuingiza zaidi ya milioni 3 sasa mtu kama huyu anashindwa vp kulipa iyo elfu ishirini ili afanye biashara yake pasipo kubugudhiwa na mgambo wa jiji vitu vingine si vya kulia lia
 
Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA

Nyie nao Hamna shukrani, Hamna jema kabisa, ndio maana jk alikuwa anawawekea migambo

Kipi ni. Bora Kwako, kulipa 20 au kusumbuliwa wakati unafanya biashara?

Au ww unatakaje muachiwe tu, mnauza vitu vyenu mpaka pemben mwa main road na mnaachwa tu
 
Kijana, hiyo ndo kodi yenyewe sasa. Wameshindwa kuwakaba wamachinga mmoja mmoja kudai kodi, wameweka hii.

Wametumia ujanja kuwapata. Kwa hiyo machinga ukikutwa hauna kitambulisho ni sawa na duka kukutwa bila TIN na leseni ya biashara.

Jamaa janja kichizi. Huku machinga wanachekelea hawatalipa kodi kule CDM wanasema jamaa anakurupuka. Hahahaha

Habari ndo hiyo.
wewe ndo umemwelewa vizuri kabisa riis
 
Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA

Haya na maagizo kutoka juu!!!! poleni lakini hakuna namna mtaendelea kuzisoma tu
 
Magufuli anadai ametengeneza vitambulisho 670,000 kwa hesabu ya haraka akiuza kwa tsh 20,000
670,000x 20,000= 13,400,000,000(bil13.4)
Bila kutoa gharama ya kuchapisha hivi vipande magu amepiga hesabu ya kupata hela ya kununua korosho.

Hiyo hela hataipata na Atafeli vibaya sana.

Akilazimisha atatapeliwa na wajanja ataipata hiyo hela lakini atapoteza mapato zaidi ya bili 13.4 kupitia makusanyo ya kawaida ya TRA
 
Nafikiri hii ni trailer tu picha kamili bado
Akikutwa mwingine kakushikia na kitambulisho chako naona itakula kwako itaonekana kama umemuuzia sasa hapo mziki wake ni kama ya kwenda kuonyesha shamba la korosho
 
Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA
Acha kuongeza chumvi wewe
 
20000 kwa mwaka mkuu
Tena wenye viduka vdg,mama lishe,
Wote wenye vimtaji vidogo....

Ova
 
Back
Top Bottom