kingsila
New Member
- Oct 21, 2017
- 1
- 4
Machinga Hayati Mh. Rais aliwapenda na kuwapa Uhuru wa kufanya kazi zenu ila mmekuwa kero kwa watumiaji wengine wa mihundombinu.
Tukianza na mifano ya wamachinga waliopo maeneo ya kariakoo,mtaa ya msimbazi,Congo na mitaa mingine ya kariakoo.
Mnatumia Uhuru wenu vibaya inafikia maali mpaka watembea kwa miguu wanapata shida kutembea kwajiri yenu nyie, jaribuni kujitengenezea utaratibu wa kujiongoza na kuheshimu watu wengine wenye matumizi na hiyo miundo mbinu.
Upande mwingine ni waendesha bodaboda nyie pia mmekuwa kero kwenye vituo vya daladala mnafanya magari na watu wanashindwa kutumia kituo kwa amanin, maana mmeweka pikipiki zenu mpaka kwenye sehemu ya kupaki gari.
Tukianza na mifano ya wamachinga waliopo maeneo ya kariakoo,mtaa ya msimbazi,Congo na mitaa mingine ya kariakoo.
Mnatumia Uhuru wenu vibaya inafikia maali mpaka watembea kwa miguu wanapata shida kutembea kwajiri yenu nyie, jaribuni kujitengenezea utaratibu wa kujiongoza na kuheshimu watu wengine wenye matumizi na hiyo miundo mbinu.
Upande mwingine ni waendesha bodaboda nyie pia mmekuwa kero kwenye vituo vya daladala mnafanya magari na watu wanashindwa kutumia kituo kwa amanin, maana mmeweka pikipiki zenu mpaka kwenye sehemu ya kupaki gari.