Machinga ni yupi?
Nimeanza na swali baada ya kuona post ya mdau akielezea athari za kiuchumi baada ya machinga kuondolewa katikati ya jiji na mikoa mengi au hapa miweke sawa kwa lugha ya Rais wetu kuwapanga wamachinga toka sehemu isiyo kuwa rasmi kuwapeleka sehemu rasmi sasa hapo kutokana na hiyo mada ya mdau najiuliza nani haswa mmachinga. Maana anazungumzia kuna wengine walipewa mpaka mikopo na mabenki.
Nazidi kijiuliza kweli sasa huyu ni machinga tena sababu kwa uelewa wangu mdogo nilijua machinga ni wachuuzi wadogo wadogo wanauza vitu kwa kuhamahama kufuatana na fursa au lugha ya kigeni street hawkers sasa hii ya kupatiwa mpaka mikopo tena inaniacha na maswali mengi. Machinga ni yupi?
Nimeanza na swali baada ya kuona post ya mdau akielezea athari za kiuchumi baada ya machinga kuondolewa katikati ya jiji na mikoa mengi au hapa miweke sawa kwa lugha ya Rais wetu kuwapanga wamachinga toka sehemu isiyo kuwa rasmi kuwapeleka sehemu rasmi sasa hapo kutokana na hiyo mada ya mdau najiuliza nani haswa mmachinga. Maana anazungumzia kuna wengine walipewa mpaka mikopo na mabenki.
Nazidi kijiuliza kweli sasa huyu ni machinga tena sababu kwa uelewa wangu mdogo nilijua machinga ni wachuuzi wadogo wadogo wanauza vitu kwa kuhamahama kufuatana na fursa au lugha ya kigeni street hawkers sasa hii ya kupatiwa mpaka mikopo tena inaniacha na maswali mengi. Machinga ni yupi?