Machinga na wafanyabiashara wa Tanzania jifunzeni kufanya biashara mtandaoni, tumieni 'smartphones' zenu vizuri

Wazo zuri Sana lakini bado. Hii inafaa kwa jamii iliyocivilized plus uaminifu tele
 
Wazo zuri Sana lakini bado. Hii inafaa kwa jamii iliyocivilized plus uaminifu tele
Jamii kutakuwa civilized sioni kama ni kikwazo cha online business, kikwazo ni mentality za watu kuamini kwamba online business ni utapeli bila kujua ya kwamba kuna matapeli wanatumia online business platforms kufanyikisha nio zao ovu za utapeli,kumbuka mateli hata mtaani kwenye maduka majumbani kila sehemu wapo tupaswa kutumia akili kutambua utapeli bila kuuliza mtu au kuambiwa na mtu.

Tukikariri hivyo bila kutumia akili tutabaki kama watu kale,ukifanya utafiti hapa bongo naweza kusema hakuna matapeli bali uelewa wetu ni ndogo kwenye online business ,nfano watu tunawaita matapeli wa mtandaoni sidhani kama wanasifa hizo ni ujinga wetu sisi wenyewe

unakuta mtu kaweka picha za nguo au picha za vifaa vya ndani kwenye page yake ya facebook au insita twitter na kwingineko kaweka bei fulani za kizushi, wengine wanajifanya wanakopesha eti wanatuma hadi mikoani, ukimwambia sawa nataka bidhaa zako anakuambia utaratibu tuma pesa ya usafiri kwenye namba hii jina ni Juma Hassani tuma na yakutolea kisha nikutumie mzigo wako, ukifika utanitumia pesa yangu, hawa mimi siwezi kuwaita matapeli japo kuwa sina jina zuri la kuwaita ila sio matapeli labda ni wahuni tu.pia wanaotapeliwa ukiwachunguza vizuri sellers na buyers utangundua wote leongo ni moja kuumizana sema muuzaji ana karata nyingi kuzi mnunuzi.

Kuna platform nyingi mzuri sana tunaweza kuzitumia kufanya biashara za online kulingana na mazingira yetu tuliyonayo kilakitu kikaenda vizuri, nfumo wa buyers, Admin, Sellers, ni mfumo sahii kwetu bongo kulingana jamamii kutokuwa civilized, lakini tukikariri kuwa biashara za mtandaoni ni utapeli tutabaki kama watu wa kale kujazana kwenye magulio na kusafiri kwenye mabasi kutumia garama kubwa bila sababu bila kujali muda.

malipo ya online yanafanyika kwanjia ya bank au simu kwa kuchagua kampuni, unafanya malipo sio jina la mtu au namba ya simu ya mtu binafsi,ukiona jina la kampuny liko kwenye menu ya simu au kampuni inamiliki account namba kwa jina lake ujue vigezo vya kupokea pesa online vimezingatiwa uwezi tapeliwa hata mia.
 
Jamii kutakuwa civilized sioni kama ni kikwazo cha online business, kikwazo ni mentality za watu kuamini kwamba online business ni utapeli bila kujua ya kwamba kuna matapeli wanatumia online business platforms kufanyikisha nio zao ovu za utapeli,kumbuka mateli hata mtaani kwenye maduka majumbani kila sehemu wapo tupaswa kutumia akili kutambua utapeli bila kuuliza mtu au kuambiwa na mtu.

Tukikariri hivyo bila kutumia akili tutabaki kama watu kale,ukifanya utafiti hapa bongo naweza kusema hakuna matapeli bali uelewa wetu ni ndogo kwenye online business ,nfano watu tunawaita matapeli wa mtandaoni sidhani kama wanasifa hizo ni ujinga wetu sisi wenyewe

unakuta mtu kaweka picha za nguo au picha za vifaa vya ndani kwenye page yake ya facebook au insita twitter na kwingineko kaweka bei fulani za kizushi, wengine wanajifanya wanakopesha eti wanatuma hadi mikoani, ukimwambia sawa nataka bidhaa zako anakuambia utaratibu tuma pesa ya usafiri kwenye namba hii jina ni Juma Hassani tuma na yakutolea kisha nikutumie mzigo wako, ukifika utanitumia pesa yangu, hawa mimi siwezi kuwaita matapeli japo kuwa sina jina zuri la kuwaita ila sio matapeli labda ni wahuni tu.pia wanaotapeliwa ukiwachunguza vizuri sellers na buyers utangundua wote leongo ni moja kuumizana sema muuzaji ana karata nyingi kuzi mnunuzi.

Kuna platform nyingi mzuri sana tunaweza kuzitumia kufanya biashara za online kulingana na mazingira yetu tuliyonayo kilakitu kikaenda vizuri, nfumo wa buyers, Admin, Sellers, ni mfumo sahii kwetu bongo kulingana jamamii kutokuwa civilized, lakini tukikariri kuwa biashara za mtandaoni ni utapeli tutabaki kama watu wa kale kujazana kwenye magulio na kusafiri kwenye mabasi kutumia garama kubwa bila sababu bila kujali muda.

malipo ya online yanafanyika kwanjia ya bank au simu kwa kuchagua kampuni, unafanya malipo sio jina la mtu au namba ya simu ya mtu binafsi,ukiona jina la kampuny liko kwenye menu ya simu au kampuni inamiliki account namba kwa jina lake ujue vigezo vya kupokea pesa online vimezingatiwa uwezi tapeliwa hata mia.
tatizo uelewa ndogo kila mtu mjuaji
 
Habari wadau JF,

Watanzania tubadilike twende na wakati kwa nini tuko kama watu kale binafi siungi mkono Machinga wala Migambo wajiji siko upande wowote ila kwa akili hizi mazingira tunayatengeza wenyewe kwakutokuwa wabunifu na kwenda na wakati kunamswali mengi sana waga najiuliza kwanini watanzania tunashindwa kutumia tekinolojia kufanya biashara (digital Marketing) kwanini tuko nyuma kilakitu tunakwama wapi?

Tubadilike twende na wakati, karne ya 21 watu bado tunajilundika sehemu moja tena njiani tunafunga njia kuna baadhi wanajifanya machinga kumbe wezi kazi yao kuchomolea watu simu na pesa kwanini tunashindwa kuanzisha platform na kufanya biashara tukalipa kodi bila kuasabisha usumbufu kwa mtu mwingine,Kuna fursa nyingi sana mtandaoni

Machinga wengi wana smartphone kunasababugani kushinda juani au kunyeshewa mvua kwanini kwenye wabongo ungia mitandani na kufanya mambo tofauti na yakuongeza kipato au biashara?

Watanzania pia tubadilike ili twende sawa na machinga
Nfano mtu anataka Bunju anakwenda kariakoo kunua kitu kimoja anapanda magari mengi kwenda kufika kariakoo utapoteza muda nauli msogamoano foleni unaenda kutengeza msogamano pia unaweza kuibiwa vilevile kwanini usiingie mtandaoni ukaagiza ukaletewa kwanini tunashindwa kufanya online business muuzaji akapata pesa yake mnunuzi akapata bidhaa yake na Serkali ikapata kodi yake kwaushindani ili kupunguza bei za bidhaa kupanda bila sabu.

Mtu mwingine anatoka mkoani anaenda Dar kununua mzigo wa laki moja tu utakula bei gani utalala bei gani utatumia nauli bei gani? kwanini usinunue mtandaoni ukaletewa mkoani kwenu

kuna baadhi ya Matepeli wako kwenye mitandao ya kijamii wanafanya utapeli na kubabaisha watu nakuchafua onile business kwenye jamii na kuonekana kama utaeli japokua hawa dawa yao ni ndogo sana naweza sema ni changamoto kila jambo linachangamoto zake.

Kuna baadhi wanafanya biashara zao kwenye mitandao ya Facebook Tweeter wapo kitambo hata blog ya kuweka kazi zao wameshindwa wamelidhika namitandao ya watu wengine pale nisehemu ya kutafuta wateja na kuwapeleka kwenye platform yako unapaswa uwekeze kwako angalau kidogo ulipie gharama kama unavyolipia frem ya duka upate uchungu na utoe ajira kwa Watanzania wenzako wa IT na wengine kuna muda utafika wenye mitandao yao watabadili gia utakuja hapa kulilia na kuwa machinga wa watandaoni tengeza platform yako tangaze kwenye mitandao ya Mabeberu upate wateja wako usijenge nyumba ndani ya nyumba ya mwenzio kuna siku mwenyewe atakuzingua

Watumiaji wa mitandao ya kijamii tubadilike pia
Watumiaji wa mitandao ya kijamii tunajindanganya tunajiona kama tumefika nfano kunasiku nilienda dukani kwa dada moja anauza nguo nikamuuliza aina fula zanguoa akaniju ingia kwenye page yanga ya insta utakuta nguo zote kisha chagua nikamuliza nitafikaje napanda gari lawapi akinimba mtu mwenye mshamba, masiki dada anauza nguo mzuri hata blog yake nyenye domain ya jina la bishara yake hana kisha najiona mjanja jamani watanzania tubadilike tupende vitu vyetu.

Watu wenye maguroup facebook acha ujinga wakutoza machinga pesa kupost bidhaa zao utafikiri kunachamchango wa maana mlichangia mwenye facebook yake akilifula za ajabu ajabu ujanja ujanja mwingi ukimuuliza umewekeza bei gani kwenye group unanyanayasa watu hata mia yale magrup ni bure tuache akili za kitegemezia pia tuache rohomba na kutumia njia za mkato kupata pesa..

Watanzania kwaninia tunashindwa kuungana na kufanya jambo letu likanyooka kama baadhi ya nchi wanavyofanya na kufanyikiwa kujiletea maandeleo

Kwanini tunapingana wenyewe lakini mtu akikwama kidogo nauli kituoni awezi kwenda nje ya nchi kuomba nauli ya kurudi nyumbani utasikia oyaa kingozi nimekwama mishe zimebuma naomba jero nirudi home akipata mingo anachuka VASA card anafanya malipo ya matangazo ya biashara yake Marekani kisha anawasimlia wenzake alivyo mjanja.

Kuna watu wametengeneza platform kwetu mzuri sana zina features amabazo zinaendana na mazigira yetu ya Kiatanzania zinaondoa udanganyifu na kuongeza ajira lakini tunazikataa bila hata kuzitumia utasikia watu wanauliza offisi zenu ziko wapi mnapatikana wapi mbona kama wageni hivi sijawai kuwasikia mkowapi vile.

Jiulize swali wewe unayemkejeli mwenzako, hapo facebook unakoshinda unajua office zao zilipo au za Tweeter zilipo utupeleke na sisi tupajue, utaonekana mshamba kutumia platforms za hapa bongo wakati platifroms za mbele ziko nyingi matokea yake tunapunguza ajira mzunguko wa pesa na kodi angalia YouTube Facebook Instagram wavyopiga pesa hizo pesa zilitakiwa zibaki kwetu kwenye nchi yetu zinazunguka hapa matokeo yake platforms za ndani tunazipiga vita zinakosa sapoti na kufungwa hii sio akili hata kidogo.

Mwsisho tuanzishe kampeni ya kutangaza vitu vyetu wenyewe tulinde ajira zetu tununue vitu vyetu tuyatumie makampuni yetu leo tunazungumza machinga kesho utasikia tukio lingine tujifunze kutonaka na matukio ikiwezekana tutaje platforms zijulikane na zakitapeli zajulikane machinga waanze uza bidhaa zao.

Serali itufunguli Gateways kama Paypal na zingine tutafute masoko nje tupokee pesa kutoka nje tuache kuwa Taifa la ajabu
Well said comred! kuna apps inaitwa peer vendors iko play store iko nchi zaidi ya 50 duniani imetoa fursa yakutosha kuanzia elimu,kutangaza biashara yako on line,kuuza professional yako, na mambo mengi .iko USA,NIJERIA,CAMEROON na hiz nchi za africa masharik. ni fursa sasa kuitumia na ni bure kabisa kujisajili na kujitangaza. ipo mpka sehem ya serikali kutangaza ajira pia.
 
Well said comred! kuna apps inaitwa peer vendors iko play store iko nchi zaidi ya 50 duniani imetoa fursa yakutosha kuanzia elimu,kutangaza biashara yako on line,kuuza professional yako, na mambo mengi .iko USA,NIJERIA,CAMEROON na hiz nchi za africa masharik. ni fursa sasa kuitumia na ni bure kabisa kujisajili na kujitangaza. ipo mpka sehem ya serikali kutangaza ajira pia.
Ziko nyingi nfano hii imetengenezwa kwa mazingira ya kibongo imesajiliwa bongo ningumu mtu kutapeliwa wekeni biashara zanu uza pokea pesa kopa miko kila kitu kipo Buy or Sell Anything Yourself With Either Auction or Without Auction.
 
Habari wadau JF,

Watanzania tubadilike twende na wakati kwa nini tuko kama watu kale binafi siungi mkono Machinga wala Migambo wajiji siko upande wowote ila kwa akili hizi mazingira tunayatengeza wenyewe kwakutokuwa wabunifu na kwenda na wakati kunamswali mengi sana waga najiuliza kwanini watanzania tunashindwa kutumia tekinolojia kufanya biashara (digital Marketing) kwanini tuko nyuma kilakitu tunakwama wapi?

Tubadilike twende na wakati, karne ya 21 watu bado tunajilundika sehemu moja tena njiani tunafunga njia kuna baadhi wanajifanya machinga kumbe wezi kazi yao kuchomolea watu simu na pesa kwanini tunashindwa kuanzisha platform na kufanya biashara tukalipa kodi bila kuasabisha usumbufu kwa mtu mwingine,Kuna fursa nyingi sana mtandaoni

Machinga wengi wana smartphone kunasababugani kushinda juani au kunyeshewa mvua kwanini kwenye wabongo ungia mitandani na kufanya mambo tofauti na yakuongeza kipato au biashara?

Watanzania pia tubadilike ili twende sawa na machinga
Nfano mtu anataka Bunju anakwenda kariakoo kunua kitu kimoja anapanda magari mengi kwenda kufika kariakoo utapoteza muda nauli msogamoano foleni unaenda kutengeza msogamano pia unaweza kuibiwa vilevile kwanini usiingie mtandaoni ukaagiza ukaletewa kwanini tunashindwa kufanya online business muuzaji akapata pesa yake mnunuzi akapata bidhaa yake na Serkali ikapata kodi yake kwaushindani ili kupunguza bei za bidhaa kupanda bila sabu.

Mtu mwingine anatoka mkoani anaenda Dar kununua mzigo wa laki moja tu utakula bei gani utalala bei gani utatumia nauli bei gani? kwanini usinunue mtandaoni ukaletewa mkoani kwenu

kuna baadhi ya Matepeli wako kwenye mitandao ya kijamii wanafanya utapeli na kubabaisha watu nakuchafua onile business kwenye jamii na kuonekana kama utaeli japokua hawa dawa yao ni ndogo sana naweza sema ni changamoto kila jambo linachangamoto zake.

Kuna baadhi wanafanya biashara zao kwenye mitandao ya Facebook Tweeter wapo kitambo hata blog ya kuweka kazi zao wameshindwa wamelidhika namitandao ya watu wengine pale nisehemu ya kutafuta wateja na kuwapeleka kwenye platform yako unapaswa uwekeze kwako angalau kidogo ulipie gharama kama unavyolipia frem ya duka upate uchungu na utoe ajira kwa Watanzania wenzako wa IT na wengine kuna muda utafika wenye mitandao yao watabadili gia utakuja hapa kulilia na kuwa machinga wa watandaoni tengeza platform yako tangaze kwenye mitandao ya Mabeberu upate wateja wako usijenge nyumba ndani ya nyumba ya mwenzio kuna siku mwenyewe atakuzingua

Watumiaji wa mitandao ya kijamii tubadilike pia
Watumiaji wa mitandao ya kijamii tunajindanganya tunajiona kama tumefika nfano kunasiku nilienda dukani kwa dada moja anauza nguo nikamuuliza aina fula zanguoa akaniju ingia kwenye page yanga ya insta utakuta nguo zote kisha chagua nikamuliza nitafikaje napanda gari lawapi akinimba mtu mwenye mshamba, masiki dada anauza nguo mzuri hata blog yake nyenye domain ya jina la bishara yake hana kisha najiona mjanja jamani watanzania tubadilike tupende vitu vyetu.

Watu wenye maguroup facebook acha ujinga wakutoza machinga pesa kupost bidhaa zao utafikiri kunachamchango wa maana mlichangia mwenye facebook yake akilifula za ajabu ajabu ujanja ujanja mwingi ukimuuliza umewekeza bei gani kwenye group unanyanayasa watu hata mia yale magrup ni bure tuache akili za kitegemezia pia tuache rohomba na kutumia njia za mkato kupata pesa..

Watanzania kwaninia tunashindwa kuungana na kufanya jambo letu likanyooka kama baadhi ya nchi wanavyofanya na kufanyikiwa kujiletea maandeleo

Kwanini tunapingana wenyewe lakini mtu akikwama kidogo nauli kituoni awezi kwenda nje ya nchi kuomba nauli ya kurudi nyumbani utasikia oyaa kingozi nimekwama mishe zimebuma naomba jero nirudi home akipata mingo anachuka VASA card anafanya malipo ya matangazo ya biashara yake Marekani kisha anawasimlia wenzake alivyo mjanja.

Kuna watu wametengeneza platform kwetu mzuri sana zina features amabazo zinaendana na mazigira yetu ya Kiatanzania zinaondoa udanganyifu na kuongeza ajira lakini tunazikataa bila hata kuzitumia utasikia watu wanauliza offisi zenu ziko wapi mnapatikana wapi mbona kama wageni hivi sijawai kuwasikia mkowapi vile.

Jiulize swali wewe unayemkejeli mwenzako, hapo facebook unakoshinda unajua office zao zilipo au za Tweeter zilipo utupeleke na sisi tupajue, utaonekana mshamba kutumia platforms za hapa bongo wakati platifroms za mbele ziko nyingi matokea yake tunapunguza ajira mzunguko wa pesa na kodi angalia YouTube Facebook Instagram wavyopiga pesa hizo pesa zilitakiwa zibaki kwetu kwenye nchi yetu zinazunguka hapa matokeo yake platforms za ndani tunazipiga vita zinakosa sapoti na kufungwa hii sio akili hata kidogo.

Mwsisho tuanzishe kampeni ya kutangaza vitu vyetu wenyewe tulinde ajira zetu tununue vitu vyetu tuyatumie makampuni yetu leo tunazungumza machinga kesho utasikia tukio lingine tujifunze kutonaka na matukio ikiwezekana tutaje platforms zijulikane na zakitapeli zajulikane machinga waanze uza bidhaa zao.

Serali itufunguli Gateways kama Paypal na zingine tutafute masoko nje tupokee pesa kutoka nje tuache kuwa Taifa la ajabu
IQ yako kubwa sana huu uzi hii ni kabla ya kuungua soko la kalume na soko la mbagala hawa walengwa akili zitawakaa ukiangalia sio kwakasi hii ya kuungua masoko.

uelewa wa Tanzania ni ndogo sana kwenye mambo hizo,waliowengi akili zao ni dongo mno itachukua miaka mingi sana labda akili itawasoge kutokana na kuungua kwa masoko
 
kama machinga kweli wanauza bidhaa za buku buku wanapoteza muda ningumu kutoka kimaisha wanapaswa kuelimishwa jinsi ya kutumia smartphone zao kupunguza msongamono katikati ya miji na kuuza bidhaa online ili waondokane na umachinga sidhani kama umachinga ni sifa mzuri mtu kuitwa machinga.
YAANI HATA AIBU HAUNA UNASEMA UMACHINGA SIO SIFA NZURI HAAA NGOJEA NICHEKE HAKIKA BORA UNYAMAZE MAANA KWA KIONGEA KWAKO TUMEJUA UPEO WAKO WA AKILI UPO CHINI KIASI GANI,
 
HOW TO MAKE MONEY ONLINE
Kuna njia nyingi za kutengeneza pesa mtandaoni
1. Unatengeneza group kwenye mitandao ya kijamii. Group lilikiwa na member wengi unaweza ukaliuza au watu ambao wanahitaji kupost biashara zao, unawatoza hela
2. Ukatengeneza blog ukauza au ukajiunga na matangazo au ukawa unatoza watu hela kupost matangazo yao
3. Ukatengeneza YouTube channel kama MilardAyo kisha ukawa unawatoza watu hela kuwapostia matangazo yao.
Platform zote hizo ni bure kwanini wanatoza hela? Watu wanahangaika kuunda magroup, youtube channel na blog ili kujiingizia hela. Tupo ulimwengu wa capitalism.
SHIDA YENU MNAOMGEA KAMA MNAJUA MNACHOKIONGEA HETI KAMA MILADIAOYO, UNAJUA MILADI ALIANZA JE MPAKA KUFIKIA HATUA YA KULIPWA, AU NIAMBIE WEWE UNALIPA NA NANI WAPI MA UNALIPWA JE
 
Jifunze kuandika vizuri. Kutumia maneno yenye herufi kubwa ni sawa na mtu anayepayuka.
Kutengeneza pesa mtandao kunahitaji kutumia akili na uwe mvumilivu.
Hizo njia nilizoandika ndiyo watu wanatumia kutengeneza pesa mtandao nikiwemo mm
Shida ya vijana km wewe unatengeneza leo blog, kesho unataka uingize hela. Utapata hasira nyingi sana km ulichoandika.
SHIDA YENU MNAOMGEA KAMA MNAJUA MNACHOKIONGEA HETI KAMA MILADIAOYO, UNAJUA MILADI ALIANZA JE MPAKA KUFIKIA HATUA YA KULIPWA, AU NIAMBIE WEWE UNALIPA NA NANI WAPI MA UNALIPWA JE
 
Back
Top Bottom