Webb
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 425
- 883
Wakuu huu mpango wa kuwathamini Machinga sio wa bahati mbaya.Hii ni karata kubwa kisiasa hasa kwa chama kilichochokwa na wananchi.
Watu wanajiuliza WHY Machinga?
(1) Population ya vijana wengi hasa mijini ni Machinga.
(2)HII NDIO POINT KUU
Watu wanasema Watanzania ni waoga,hasa katika mambo ya kudai haki tena hikihusisha MAANDAMANO.Na huo ndio ukweli
Kwanini watu ni waoga kuandamana kudai haki?.Wengi watakujibu kuwa "Tuache kutafuta ugali wa watoto tukaandamane,wapi".
Apa Tanzania watu wenye uthubutu wa kuandamana na kujitoa kwa 100% kudai haki ni MACHINGA pekee.
Machinga haogopi mabomu wala Segerea kwa sababu tayari kaishakosa haki yake ya kutafuta ridhiki,kwahiyo anajitoa muhanga kwa ajili ya familia yake.
Hii ni tofauti na sekta nyingine,mtu aandamane wakati ana uhakika na mwisho wa mwezi.
Magufuri anaitumia hii kete vizuri ili mwaka 2020 baada ya kujitangazia USHINDI,atawambia Machinga waendelee kuchapa kazi wasisikilize porojo za wapinzani.
Eti waandamane,wakati wameshapewa uhuru wa kufanya biashara,NEVER.
Narudia hakuna mtu wa kuingia road zaidi ya machinga,hata kule Mwanza na Arusha enzi za Slaa Machinga ndio waliokua wanaongoza zile harakati za maandamano.
2020 twende na......
Watu wanajiuliza WHY Machinga?
(1) Population ya vijana wengi hasa mijini ni Machinga.
(2)HII NDIO POINT KUU
Watu wanasema Watanzania ni waoga,hasa katika mambo ya kudai haki tena hikihusisha MAANDAMANO.Na huo ndio ukweli
Kwanini watu ni waoga kuandamana kudai haki?.Wengi watakujibu kuwa "Tuache kutafuta ugali wa watoto tukaandamane,wapi".
Apa Tanzania watu wenye uthubutu wa kuandamana na kujitoa kwa 100% kudai haki ni MACHINGA pekee.
Machinga haogopi mabomu wala Segerea kwa sababu tayari kaishakosa haki yake ya kutafuta ridhiki,kwahiyo anajitoa muhanga kwa ajili ya familia yake.
Hii ni tofauti na sekta nyingine,mtu aandamane wakati ana uhakika na mwisho wa mwezi.
Magufuri anaitumia hii kete vizuri ili mwaka 2020 baada ya kujitangazia USHINDI,atawambia Machinga waendelee kuchapa kazi wasisikilize porojo za wapinzani.
Eti waandamane,wakati wameshapewa uhuru wa kufanya biashara,NEVER.
Narudia hakuna mtu wa kuingia road zaidi ya machinga,hata kule Mwanza na Arusha enzi za Slaa Machinga ndio waliokua wanaongoza zile harakati za maandamano.
2020 twende na......