mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana jf.
Tangu kubarikiwa machinga kupanga bidhaa zao barabarani. Sasa imekuwa kufuru hadi sasa hakuna sehemu ya kupita zaidi ya kuonewa huruma na wenye magari yao wakikukwepa kama mpira wa erasto nyoni. Basi wapewe semina elekezi ya kupanga bidhaa. Sasa hivi hadi taa za barabarani zimewekwa nguo na nguzo za umeme wametandika mashuka. Mwendo kasi bila kupiga honi kama vile wanakimbiza mgonjwa hawapiti kabisa.
Tangu kubarikiwa machinga kupanga bidhaa zao barabarani. Sasa imekuwa kufuru hadi sasa hakuna sehemu ya kupita zaidi ya kuonewa huruma na wenye magari yao wakikukwepa kama mpira wa erasto nyoni. Basi wapewe semina elekezi ya kupanga bidhaa. Sasa hivi hadi taa za barabarani zimewekwa nguo na nguzo za umeme wametandika mashuka. Mwendo kasi bila kupiga honi kama vile wanakimbiza mgonjwa hawapiti kabisa.