Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,925
SamalekooNaona umefura!
SamalekooNaona umefura!
AksantePole kwa wafiwa
Mtu mmoja ambaye ni mmachinga amegongwa na gari na kufariki wakati akiokoa mali zake pale Vingunguti
Mtu huyi Mohamed Ramadhani " Mkongo" aligongwa na gari lililobeba nyama wakati akivuka barabara na mizigo yake.
Chanzo: ITV habari
Nahisi Corona imesepa nae,kama ilivyosepa na yule yesu wao wa Chato.simuoni saiv kwenye kamati ya mapambio na kusifu na kuabudu
popote ulipo Bia yetu ujitokeze
Yaani mtu amekiuka utaratibu na Pia agongwe kwa uzembe DC afukuzwe!! Kweli hii kazi!! Wamachinga watapangwa no way!! Tunataka watu walipe kodi kwa kidogo upatachoKuna ajira tunatangaziwa hvi karibuni..hasa ya mkuu wa wilaya ya Ilala
Afadhali umetuletea habari yenye ukweliMkuu acha kuandika taarifa za uongo huyu marehemu sio mmachinga ni konda wa daladala alikuwa anawahi kuamsha gari ndio alipokutwa na umauti wala hana uhusiano na mambo ya kuvunjiwa mabanda.
Uhakika unavyosema,ukisoma habari za mitandaoni,na Hali halisi,mengi ni ya uongo,wengi sasa hatuamini habari za mitandaoni,nyingi ni za uongo,hasa kwa matukio dhidi ya serekali.Yaan hapa Tanzania kila kitu kimekuwa siasa za mitaloni.Connection hapo ni kuichonganisha ccm.Lakin habari za mitandaoni zimekuwa nyingi za uongo sana.Moderator futeni huu Uzi.
Mtu mmoja ambaye ni mmachinga amegongwa na gari na kufariki wakati akiokoa mali zake pale Vingunguti
Mtu huyi Mohamed Ramadhani " Mkongo" aligongwa na gari lililobeba nyama wakati akivuka barabara na mizigo yake.
Chanzo: ITV habari
Una roho ngumu sana ...binadam mwenzako kafa akitetea mali zake zinazobomolewa na serikali yake na hakuwa mwizi bali mtafuta riziki kwa jasho lake ww unakuja na chuki zako na machinga ...so sadWamachinga wafurushwe...ni wachafuzi wa mazingira..
Unajiona una maisha kumbe uko kwa shemeji ama umepanga kichumba bondeni unakuja kufurahi mwanaume mwenzako anaye pambana kutafuta maisha ..ww unae jielewa umefanya nn kusaidia jamii ijielewe ama ndo kukaa kwako kwa shemejiMtu yeyote anayetaka kutetea wamachinga wabaki hajielewi
Nendeni chatoUnajiona una maisha kumbe uko kwa shemeji ama umepanga kichumba bondeni unakuja kufurahi mwanaume mwenzako anaye pambana kutafuta maisha ..ww unae jielewa umefanya nn kusaidia jamii ijielewe ama ndo kukaa kwako kwa shemeji
Sahau hiyo kituKuna ajira tunatangaziwa hvi karibuni..hasa ya mkuu wa wilaya ya Ilala
Hii yote imesababishwa na laanakum Magufuli...Huko jehanam aliko awe kuni kabisaUna roho ngumu sana ...binadam mwenzako kafa akitetea mali zake zinazobomolewa na serikali yake na hakuwa mwizi bali mtafuta riziki kwa jasho lake ww unakuja na chuki zako na machinga ...so sad
Pole yake ni ajali kazini ila wahusika wasipotoa maelezo ya kueleweka kwa Rais atawatoa kafara
asante kwa ufafanuziMkuu acha kuandika taarifa za uongo huyu marehemu sio mmachinga ni konda wa daladala alikuwa anawahi kuamsha gari ndio alipokutwa na umauti wala hana uhusiano na mambo ya kuvunjiwa mabanda.