johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Mtu mmoja ambaye ni mmachinga amegongwa na gari na kufariki wakati akiokoa mali zake pale Vingunguti
Mtu huyi Mohamed Ramadhani " Mkongo" aligongwa na gari lililobeba nyama wakati akivuka barabara na mizigo yake.
Chanzo: ITV habari
Mtu huyi Mohamed Ramadhani " Mkongo" aligongwa na gari lililobeba nyama wakati akivuka barabara na mizigo yake.
Chanzo: ITV habari