Machine ya kukamua alizeti Dar es salaam

kkiwango

Senior Member
Aug 27, 2007
173
14
Wakuu habari ya leo.

Nina gunia zangu za alizeti hapa Dar, natafuta sehemu kwenye mashine naweza kukamua mafuta. kuna mwenye kufahamu wapi naweza kupata huduma hiyo?


Asante in advance
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom