nover
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 235
- 174
Habari wana jamiiforums, nategemea kufungua ivi karibuni biashara ya vifungashio (jumla & rejareja) maeneo ya Mwanza mjini.
Naomba kwa wazoefu wa biashara hii mnifahamishe ni wapi naweza kupata mzigo bei rahisi ndani ya nchi.
Tayari nimepata baadhi ya machimbo ya mzigo maneo ya Kariakoo ila naona bei zao hazina tofauti sana na za hapa Mwanza.
Nitashukuru pia kama nitaweza kupewa na mawasiliano ya simu. Natanguliza shukrani.
Naomba kwa wazoefu wa biashara hii mnifahamishe ni wapi naweza kupata mzigo bei rahisi ndani ya nchi.
Tayari nimepata baadhi ya machimbo ya mzigo maneo ya Kariakoo ila naona bei zao hazina tofauti sana na za hapa Mwanza.
Nitashukuru pia kama nitaweza kupewa na mawasiliano ya simu. Natanguliza shukrani.