Hapo ni baadhi ya Ma Chifu wa enzi hizo. Wanaonihusu hawaonekani vizuri. Kwenye maktaba yangu nahitaji kuweka mambo sawa sasa
bahati mbaya picha imechakaa. Nillipata jamaa yangu alileta kazini nimfanyie scanning na kuikuza.
Humu inawezekana kuna mdau anayopicha yenye yenye mwonekano mzuri zaidi.
Nawasilisha
bahati mbaya picha imechakaa. Nillipata jamaa yangu alileta kazini nimfanyie scanning na kuikuza.
Humu inawezekana kuna mdau anayopicha yenye yenye mwonekano mzuri zaidi.
Nawasilisha