tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,405
Mods hii imelekwe jukwaa la chini kabisa.
Hapana wengine hatuna access napo
Mods hii imelekwe jukwaa la chini kabisa.
Huu ni udharirishaji wa hali ya juu kabisa, kwa nini wasitumike askari wa kike kuwakamata? na Je wamevunja sheria gani haswa?
Watoa huduma hawa...
Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata Madada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao wajulikanao kama Machangudoa katika eneo la Sinza. Picha mbalimbali zikionyesha namna walivyokuwa wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
Mimi nima wasiwasi na hawa mgambo wa jiji! sidhani kwamba kazi hii inafanyika katika uhalisia wake hapa kuna kitu...ila kama hawakua makini basi watapotea na kupoteza familia zao, nadhani naeleweka..Hebu waache kuwasumbua hao wadada bana. Maisha yenyewe magumu haya. Watafute namna ya kuwasaidia ili hiyo biashara ichangie pato la taifa kwa njia ya kodi.
Hii kamata kamata haitaiondoa hiyo biashara. Ni biashara ambayo itadumu milele na milele. Ni muda muafaka sasa kwa serikali kuwaingiza hao watoa huduma rasmi katika mfumo wa kiuchumi.
Ngoja nikipata muda nitam-lobby mmoja wa wabunge apeleke hoja huko bungeni ya kuihalalisha hiyo biashara kwani nchi inakosa mapato ya mahela mengi sana - kwenye mabilioni huko.
NB* Ila huyo anayedandia hiyo Lendrova niaje tena? Hiyo ni chupi? bukta? ama? Halafu mwenyewe kashikilia pochi (begi) yake ya chui chui...maskini wee daah!
Mashanga yanamiminika kama maji mweeeeeeeee.[h=1]Watoa huduma hawa...[/h]
Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata Madada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao wajulikanao kama Machangudoa katika eneo la Sinza. Picha mbalimbali zikionyesha namna walivyokuwa wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
wauzaji na wanunuzi wote wana makosa..wawakamate na wateja wao ss