Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salaam wa MMU
Hii ni taadhari kwa wale jamaa wanaoishi Mwanza na wanapenda kununua makahaba
Maeneno ya mabatini karibu na kambi ya FFU kuna kundi la machangudoa wanajiuza pale ,bei zao ni simple sana kuanzia elfu 2000 unakula K,kumbe ni mtego
Inshu ipo hivi:-
Ijumaa iliyopita nilikua rafiki angu mjini kati tunapata moja moto moja baridi, baada ya muda tukaamua tuondoke but rafiki angu akaniambia ana ugwadu hivyo nimsindikize pale mabatini akachukue Malaya mmoja amle fasta turudi makwetu tukaondoka mdogo mdogo mpaka pale
Jamaa akaongea na mdada mmoja na bei akasema ni elfu 2 wakaingia ndani
Mimi nikaenda pembeni zilipopaki boda boda nkaanza kupiga nao story, ile sijakaa sawa wananiambia "oya mwenzako unajua kakamatwa na polisi jamii sijui wanampeleka wapi,hiyo ilikua SAA 5 usiku"
Nikaanza kuwauliza vizuri wakaanza kunisimulia kwamba wale makahaba washapanga dili na polisi jamii wanaweka hela ndogo ukijichanganya kwenda nae ndani kabla hujaanza kula mzigo au upo katikati ya game unashangaa jamaa wanaibuka na kukuweka chini ya ulinzi,kinachofuata hapo ni kukupeleka njia ya mjini ili wakupeleke central humu njiani unaambiwa utoe hela elfu 30 mpaka laki ili wakuachie,si unajua serikali imepiga marufuku biashara ya ukahaba,so ili kuepuka kwenda butimba unatoa unaachiwa
Then kwa wakati wao wanakutana na yule kahaba wanagawana hela
Sasa bahati nzuri rafiki angu nae mtoto wa mjini akawatia sound wakamwachia akarudi na kunisimulia jamaa walitaka awape laki
N.B wale wanaume wenzangu wanaoishi mwanza na wanapenda kununua Malaya pale mabatini kuweni makini kuna mbinu chafu za kupiga hela zinazofanywa kati ya wale machangudoa kwa kushirikiana na police jamii, kuweni makini mtaumbuka na kufedheka pale unapopelekwa butimba kwa kosa LA kukutwa unatia changudoa wakati una mke kwenu
OVA
Hii ni taadhari kwa wale jamaa wanaoishi Mwanza na wanapenda kununua makahaba
Maeneno ya mabatini karibu na kambi ya FFU kuna kundi la machangudoa wanajiuza pale ,bei zao ni simple sana kuanzia elfu 2000 unakula K,kumbe ni mtego
Inshu ipo hivi:-
Ijumaa iliyopita nilikua rafiki angu mjini kati tunapata moja moto moja baridi, baada ya muda tukaamua tuondoke but rafiki angu akaniambia ana ugwadu hivyo nimsindikize pale mabatini akachukue Malaya mmoja amle fasta turudi makwetu tukaondoka mdogo mdogo mpaka pale
Jamaa akaongea na mdada mmoja na bei akasema ni elfu 2 wakaingia ndani
Mimi nikaenda pembeni zilipopaki boda boda nkaanza kupiga nao story, ile sijakaa sawa wananiambia "oya mwenzako unajua kakamatwa na polisi jamii sijui wanampeleka wapi,hiyo ilikua SAA 5 usiku"
Nikaanza kuwauliza vizuri wakaanza kunisimulia kwamba wale makahaba washapanga dili na polisi jamii wanaweka hela ndogo ukijichanganya kwenda nae ndani kabla hujaanza kula mzigo au upo katikati ya game unashangaa jamaa wanaibuka na kukuweka chini ya ulinzi,kinachofuata hapo ni kukupeleka njia ya mjini ili wakupeleke central humu njiani unaambiwa utoe hela elfu 30 mpaka laki ili wakuachie,si unajua serikali imepiga marufuku biashara ya ukahaba,so ili kuepuka kwenda butimba unatoa unaachiwa
Then kwa wakati wao wanakutana na yule kahaba wanagawana hela
Sasa bahati nzuri rafiki angu nae mtoto wa mjini akawatia sound wakamwachia akarudi na kunisimulia jamaa walitaka awape laki
N.B wale wanaume wenzangu wanaoishi mwanza na wanapenda kununua Malaya pale mabatini kuweni makini kuna mbinu chafu za kupiga hela zinazofanywa kati ya wale machangudoa kwa kushirikiana na police jamii, kuweni makini mtaumbuka na kufedheka pale unapopelekwa butimba kwa kosa LA kukutwa unatia changudoa wakati una mke kwenu
OVA