Hatimae Mh. Machali ameomba muongozo na kuomba maneno aliyatumia yafutwe na pia Mwenye Kiti wa Bunge, Mh. Jenister Mhagama kamsifu sana sana sana kwa uzalendo aliouonyesha! Na kwa kwenda mbali zaidi Mhagama kasema kila Mmbunge ajipime na kuangalia kama anaweza kufuta kauli mbaya alizotumia Bungeni. Pia kasema, kauli au matendo ya kuonyesha dharau au kejeli kwa Mbunge mwingine au Waziri si vitendo vya uungwana!
Swali
Je Janeth Mbene anaweza kweli kufuta/kuomba msamaha kwa kitendo alichofanya???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.