Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,578
- 217,949
😁😁Anahofia asije batizwa na maji ya moto
Hata Sumaye kule Madale ilianza kama hivi!
Sumaye ameridhika kunyang'anywa kila wanachoona kinawafaaHata Sumaye kule Madale ilianza kama hivi!
Ushahidi huu hapaTia maji-tia maji wazee wa CCM hawalali wanaisoma namba eehhh
Unaota kila siku cdm nenda kamsaidie musiba hukoHuyu mzee anakili japo maounga ya chadema yalimtukana ila alikula nao kimyakimya
Hapo kuna machadema yanashindwa kufuata taratibu yakiambiwa wananyang'anywa yatasema ni siasa
Maounga hili neno ni la lugha gani?Huyu mzee anakili japo maounga ya chadema yalimtukana ila alikula nao kimyakimya
Hapo kuna machadema yanashindwa kufuata taratibu yakiambiwa wananyang'anywa yatasema ni siasa
Hapo Ufipa mko shwari?ccm hali ni mbaya mno ! lolote laweza kutokea wakati wowote
Hivi rais mstaafu anakuwa na walinzi wangapi? Na je JK akienda safari nje ya nchi anaogozana na hao walinzi?Namuona Miraj na Riz hapo pembeni