Mlangaja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 579
- 218
Nimeshangaa sana kusikia suala la machafuko ya Arusha yanajadiliwa wakati yapo mahakamani. Je tumeambiwa nini kuhusu Dowans? Ni ule msemo wa mkuki kwa nguruwe siyo.
Kweli mimi sielewi tunapelekwa wapi? Kwa nini viongozi wetu wameamua kutusaliti namna hii?
Naomba mnisaidie wana JF.
Kweli mimi sielewi tunapelekwa wapi? Kwa nini viongozi wetu wameamua kutusaliti namna hii?
Naomba mnisaidie wana JF.