Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,030
- 12,579
Kuna mahali nimeona askari na silaha zao wanatoka mbio kwa kuwaogopa raia
Kabisa...rushwa imeshamiri mno NigeriaNigeria is a failed state.
CIA walishatoaga report kwamba in 20yrs to come Naigeria itatoweka kama nchi and that was 2010Nigeria is a failed state.
kila thread lazima ujitokeze kama robot ,hebu peleka uzwazwa wako huku ,fool!Waje Tanzania wajifunze amani na utulivu
Kuna mjeshi alikuwa na mpango wa kumpindua Nyerere,Nyerere aligundua na kumpeleka Nigeria kuwa balozi akajifunze vizuri uzoefu wa kupinduana na kufahamu madhara yake haswa kwa taifa lenye makabila mengi kama Tanzania.Kabisa...rushwa imeshamiri mno Nigeria
Na inaumiza sana moyo kwa kweli daah!
Hao askari wao wanachojua ni kuonea raia tu! Mara kibao wamekuwa wanawakimbia Boko Haram, wanavua magwanda na kutupa silaha kisha wanatoka nduki 😅 😅Kuna mahali nimeona askari na silaha zao wanatoka mbio kwa kuwaogopa raia
Kweli kabisa! Yaani ukichora tatoo, ukiwa na dreadlock, ukiwa na mwonekano flan hivi wa tofauti basi wanakubandika jina la robber, wanakutwanga risasi hadharani kisha wanasepa zao! SADNigeria mfano mke akichakszwa na mmewe had I kupasuka,ananyimwa chakula.matibabu,
Hata alienda anavuja damu watamjibu mama hayo ni mambo ya kifamilia kayamalize nyumbani.
Niliona Hiki kisa kwenye TV,nlitamni npasue TV,
Kuna mwingine kwa amani tu alikua anatoka kanisani na familia yake kwenye gari ghafla barabarani anashangaa anasimamishwa,wanaghasiwa eti robbers..mke kadungwa risasi.watoto hawaelewi nini kinaendelea.baba nae wakati anahoji kapigwa risasi.wakaachwa hapohapo.
Mama kafa zamani huku kapakata kichanga..just imagine..halafu ni polisi na sare zao kabisa.
Hii nchi HAPANA!!
Aiseee!kwamba vituo vya polisi,majengo ya mahakama na miundombinu baadhi ni mali ya SARS.
ukisikia mtu anakwambia huna akili hamaanishi ubongo huna.
Nmeona leo kundi la maelfu ya watu wanaelekea kwenda kuvunja gereza aise ilibidi askari wa magereza wale konaHali inazidi kuwa mbaya! Now waandamanaji wanatarget vituo vya polisi na mahakama, wanapiga kiberiti!
Hatari sana mkuuNmeona leo kundi la maelfu ya watu wanaelekea kwenda kuvunja gereza aise ilibidi askari wa magereza wale kona
Maana watu wanakuja na majambia petrol visu bunduki Dah
Hatari
Ova
Nmeona leo kundi la maelfu ya watu wanaelekea kwenda kuvunja gereza aise ilibidi askari wa magereza wale kona
Maana watu wanakuja na majambia petrol visu bunduki Dah
Hatari
Ova
Wanajiita Ant-robbery wakati wao ndio MAJAMBAZI.Special Anti Robbery Squad
Nchi Gani?Tume ya Uchaguzi na polisi watasababisha damu imwagike nchini
wewe jamaa akili zako huwa zipo matakoniWaje Tanzania wajifunze amani na utulivu
Ni kwa video?Nmeona leo kundi la maelfu ya watu wanaelekea kwenda kuvunja gereza aise ilibidi askari wa magereza wale kona
Maana watu wanakuja na majambia petrol visu bunduki Dah
Hatari
Ova