mfyayukulela
Senior Member
- May 30, 2017
- 167
- 234
Moja kwa moja kwenye mada. Wamiliki wa viwanja vya mradi vilivyopimwa eneo la Mabwe pande, Kinondoni wamekuwa wakisumbuliwa sana na uvamizi uliokubuhu.
Usipoenda ndani ya miezi michache tu wakazi wa kule huvamia kiwanja chako na kuwauzia raia wema wasiojua. Hali hiyo inawaletea usumbufu na hasara wamiliki na pia wanunuzi wanaotapeliwa kila uchwao.
Rai manispaa ya Kinondoni irudishie bikoni zilizoondolewa na wavamizi na kuboresha miundombinu hii itasaidia kupunguza idadi ya wanaotapeliwa.
Usipoenda ndani ya miezi michache tu wakazi wa kule huvamia kiwanja chako na kuwauzia raia wema wasiojua. Hali hiyo inawaletea usumbufu na hasara wamiliki na pia wanunuzi wanaotapeliwa kila uchwao.
Rai manispaa ya Kinondoni irudishie bikoni zilizoondolewa na wavamizi na kuboresha miundombinu hii itasaidia kupunguza idadi ya wanaotapeliwa.