Mabraza mliooa, mnaweza tupatia ushauri gani sisi ambao tunataka kuoa?

Usitoe.ukioa ni majanga yanaanzia hapa.
Kwanza inabidi umnunue mke, Kwa bei inayoitwa mahari. Na wakati wa kununua lazima iambatane na tafrija ya Pete na Harusi,hela hizo zinakutoka. Si ungekula BATA na Wana Hadi nafsi ifurahi??
Shida zote za nini, USIOE!

Tuendelee, mnakua wawili, gharama za maisha zinaongezeka, jumlisha matabia mapya ya mkeo yanakuchanganya, ushazoea kulala kokote huezi tena, kukesha bar na kulala na pisi Kali Kama zamani.
Shida zote za nini, USIOE!

Mnakuja kupata watoto, gharama zinaongezeka mara dufu,chakula, pango, shule, msaidizi, kutunza wakwe na mashemeji...eh eh eh..wakwe ndio...si washakua wazazi wenu, na nduguze mkeo ni nduguzo?
Shida zote za nini, USIOE!

Bado unatakiwa upambane watoto uwaachie urithi mbili,ELIMU NA MALI....
Shida zote za nini, USIOE!
Hahaha aaaaaaaah
 
Jitahidi sana kupata mwanamke mnayeshabihiana kwa vitu vingi.Ufanisi wa ndoa uko katika kushabihiana katika mawazo zaidi kuliko usahihi. Ndoa hufanikiwa endapo mtajenga bond na haipatikani kirahisi kama mawazo yenu hayaendani

Epuka sana influence ya familia zenu katika maisha yenu ya ndoa. Jitahidini sana kuutambua mpaka wa wazazi,ndugu,jamaa na marafiki.Narudia,Chunga sana!
 
Msela wangu Ndoa kwa Mwanaume Ni sawa na Kuota ndoto ya kwenda Haja Chooni.. yaan ukijichanganya tu unadodesha.. we kausha tu!! Fanya Mambo ya Maana achana Na pigo za kirembo hizo!! Narudia Tena Usioe..

Alisikika Mtoto wa Nje ya Ndoa..
 
Usitoe.ukioa ni majanga yanaanzia hapa.
Kwanza inabidi umnunue mke, Kwa bei inayoitwa mahari. Na wakati wa kununua lazima iambatane na tafrija ya Pete na Harusi,hela hizo zinakutoka. Si ungekula BATA na Wana Hadi nafsi ifurahi??
Shida zote za nini, USIOE!

Tuendelee, mnakua wawili, gharama za maisha zinaongezeka, jumlisha matabia mapya ya mkeo yanakuchanganya, ushazoea kulala kokote huezi tena, kukesha bar na kulala na pisi Kali Kama zamani.
Shida zote za nini, USIOE!

Mnakuja kupata watoto, gharama zinaongezeka mara dufu,chakula, pango, shule, msaidizi, kutunza wakwe na mashemeji...eh eh eh..wakwe ndio...si washakua wazazi wenu, na nduguze mkeo ni nduguzo?
Shida zote za nini, USIOE!

Bado unatakiwa upambane watoto uwaachie urithi mbili,ELIMU NA MALI....
Shida zote za nini, USIOE!
Hahahah, USIOE!
 
Usitoe.ukioa ni majanga yanaanzia hapa.
Kwanza inabidi umnunue mke, Kwa bei inayoitwa mahari. Na wakati wa kununua lazima iambatane na tafrija ya Pete na Harusi,hela hizo zinakutoka. Si ungekula BATA na Wana Hadi nafsi ifurahi??
Shida zote za nini, USIOE!

Tuendelee, mnakua wawili, gharama za maisha zinaongezeka, jumlisha matabia mapya ya mkeo yanakuchanganya, ushazoea kulala kokote huezi tena, kukesha bar na kulala na pisi Kali Kama zamani.
Shida zote za nini, USIOE!

Mnakuja kupata watoto, gharama zinaongezeka mara dufu,chakula, pango, shule, msaidizi, kutunza wakwe na mashemeji...eh eh eh..wakwe ndio...si washakua wazazi wenu, na nduguze mkeo ni nduguzo?
Shida zote za nini, USIOE!

Bado unatakiwa upambane watoto uwaachie urithi mbili,ELIMU NA MALI....
Shida zote za nini, USIOE!
USIOE, point kubwa sana hii
 
Back
Top Bottom