dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,216
- 54,840
1. usitoe mahari kwa binti asiyekua bikra
2. usioe singo maza
utajanishukuru
2. usioe singo maza
utajanishukuru
Hahaha aaaaaaaahUsitoe.ukioa ni majanga yanaanzia hapa.
Kwanza inabidi umnunue mke, Kwa bei inayoitwa mahari. Na wakati wa kununua lazima iambatane na tafrija ya Pete na Harusi,hela hizo zinakutoka. Si ungekula BATA na Wana Hadi nafsi ifurahi??
Shida zote za nini, USIOE!
Tuendelee, mnakua wawili, gharama za maisha zinaongezeka, jumlisha matabia mapya ya mkeo yanakuchanganya, ushazoea kulala kokote huezi tena, kukesha bar na kulala na pisi Kali Kama zamani.
Shida zote za nini, USIOE!
Mnakuja kupata watoto, gharama zinaongezeka mara dufu,chakula, pango, shule, msaidizi, kutunza wakwe na mashemeji...eh eh eh..wakwe ndio...si washakua wazazi wenu, na nduguze mkeo ni nduguzo?
Shida zote za nini, USIOE!
Bado unatakiwa upambane watoto uwaachie urithi mbili,ELIMU NA MALI....
Shida zote za nini, USIOE!
We mshauri hayo mengine achana nayoHapa utaharibiwa akili yako hadi ushangae, na mpango wa kuoa utasitisha.
Yeyote anaendesha,japo mke akikasirika unamwachia hata mwezi mzima anatanua nalo mjini teh teh!!!!Kuna watu wanachanga na kununua magari?
Makubwa haya!
Nani analiendesha?
huna hela, kujipanga vizuri ndoniniAsanteni kwa ushahuri. Naona nisubiri kidogo kuoa. Kuna uwezekano sijajipanga vizuri.
Hizo bikra ni za namna gani mkuu? Maana hapa labda tuowe watoto wa chekechea(1)Tafuta mke bikra!
(2)Epuka singo moms na wanawake makopo
(3)Rudi soma hizo sentence mbili hapo juu utakuja kunishukuru.
Hahahah, USIOE!Usitoe.ukioa ni majanga yanaanzia hapa.
Kwanza inabidi umnunue mke, Kwa bei inayoitwa mahari. Na wakati wa kununua lazima iambatane na tafrija ya Pete na Harusi,hela hizo zinakutoka. Si ungekula BATA na Wana Hadi nafsi ifurahi??
Shida zote za nini, USIOE!
Tuendelee, mnakua wawili, gharama za maisha zinaongezeka, jumlisha matabia mapya ya mkeo yanakuchanganya, ushazoea kulala kokote huezi tena, kukesha bar na kulala na pisi Kali Kama zamani.
Shida zote za nini, USIOE!
Mnakuja kupata watoto, gharama zinaongezeka mara dufu,chakula, pango, shule, msaidizi, kutunza wakwe na mashemeji...eh eh eh..wakwe ndio...si washakua wazazi wenu, na nduguze mkeo ni nduguzo?
Shida zote za nini, USIOE!
Bado unatakiwa upambane watoto uwaachie urithi mbili,ELIMU NA MALI....
Shida zote za nini, USIOE!
Kwa dunia hii ya sasa ilivyo kuna haja ya kuoa kweli?Hapa utaharibiwa akili yako hadi ushangae, na mpango wa kuoa utasitisha.
USIOE, point kubwa sana hiiUsitoe.ukioa ni majanga yanaanzia hapa.
Kwanza inabidi umnunue mke, Kwa bei inayoitwa mahari. Na wakati wa kununua lazima iambatane na tafrija ya Pete na Harusi,hela hizo zinakutoka. Si ungekula BATA na Wana Hadi nafsi ifurahi??
Shida zote za nini, USIOE!
Tuendelee, mnakua wawili, gharama za maisha zinaongezeka, jumlisha matabia mapya ya mkeo yanakuchanganya, ushazoea kulala kokote huezi tena, kukesha bar na kulala na pisi Kali Kama zamani.
Shida zote za nini, USIOE!
Mnakuja kupata watoto, gharama zinaongezeka mara dufu,chakula, pango, shule, msaidizi, kutunza wakwe na mashemeji...eh eh eh..wakwe ndio...si washakua wazazi wenu, na nduguze mkeo ni nduguzo?
Shida zote za nini, USIOE!
Bado unatakiwa upambane watoto uwaachie urithi mbili,ELIMU NA MALI....
Shida zote za nini, USIOE!
Mama mpe ushauriHapa utaharibiwa akili yako hadi ushangae, na mpango wa kuoa utasitisha.