sasa mbona wanajibishia wenyewe? kwani wao si wako ndani ya serikali? sasa mbona wanatuchanganya?....anyway....ngoja wapigwe virungu...
....na bado....
Vyanzo vya habari kadhaa vyaarifu kuwa risasi za moto na mabomu zimetumika katika kutawanya maandamano ya CUF mitaa ya Buguruni hali haikuwa shwari asubuhi hii.
Amanibaraka vipi hujawasuruhisha hao Mume na Mke?
AAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA CCM acha kupiga Mkeo. Aibu hiyo, mbona mmeoana hivi karibuni vipi hakumsomana vizuri tabia?