taarifa nusunusu zinakera, kwa hiyo ulipoona mabomu tu ukaamua kuandika hujui hata chanzo wala mkasa.
tupe habari kamili na picha ikiwezekana pengine ingesaidia kueleza jambo kama wewe hukuweza kuandika mambo mengi.
daaaa sasa hajira hamna jamani maisha kila cku iendayo kwa mungu yanazidi kupanda bei unadhani vijana watajikomboa vp kwenye swala hili zito la umaskini mimi nadhani tungekaaa chini kulifilia swala hili kwa undani zaidi ili kujua jinsi ya kusaidia vijana hawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.