Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Nov 1, 2010 #1 Ni muda huu baada ya Lema kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya ubunge. Hali bado ni tete
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,071 Nov 1, 2010 #2 Hawataki watu wafurahie ushindi au ndio hasira ya kushindwa ccm
YeshuaHaMelech JF-Expert Member Oct 12, 2010 2,597 37 Nov 1, 2010 #3 pole dada Batilda...hongera braza Lema. Wananchi ndio wameamua. Urais imekaaje?
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Nov 1, 2010 #5 Baltida aliniudhi sana alipomkomalia Zitto Kabwe asimamishwe ubunge...