Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Mpira wetu ni ujinga mtupu,watu wametapeliwa tayari Pesa zao na hakuna wa kuwajibika
Isee balaa sana.Heheh...
Unataka urudishiwe pesa na nani wakati tiketi yenyewe umenunua ya karatasi kama pipi tu vile, hakuna hata kitambulisho kilichotumika...
Ndio imekula kwa yoyote aliyenunua tiketi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukome kudhabikia vyuraHabari.
Hadi sasa baada ya kutangazwa kuahirishwa kwa mechi kati ya Simba Sc Vs Young Africans.
Police wanatumia mabomu ya machozi kutawanya watu.
Kwa aliye na ndugu jamaa na rafiki hakika huku uwanjani mambo yamekuwa karaha.
Nitaleta mrejesho zaidi acha nipambane kujiokoa na mabomu ya machozi haya ndugu zangu.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Kichwa Kichafu.
Millard ayo hajawawekea huko mitandaoni mkuu.Rusha video ya mabomu
.. Kiendacho kwa Mganga, Mkuu....
Ticket zilichanwa mlangoni...Hivi nawaza tuu hizo hela watarudishiwa vipi??...Kwa maana?
Balaa hili....na maisha ya Dar yalivyo magumu dadeq
Mkuu Young Africans waoga na nini tena?We expect so, Yanga waoga.
Tabu kweli kweli.Mabomu tena jmn
Its not fair kwa kweli
Vurugu zimeanzia hapo na mabomu kuanza baada ya watu kuanza kuomba pesa kurudishwa.Hivi nawaza tuu hizo hela watarudishiwa vipi??...Kwa maana?
Balaa hili....na maisha ya Dar yalivyo magumu dadeq
Na badoHiii Nchi kwa sasa Haina Uongozi. Ni Hobela hobela tu, hadi watu wanaanza kumkumbukw Mwendazake Bulldozer.
Vita vya panzi hivyo faida kwa kunguru.Wahuni wa keko hadi Tandika naona furaha yao Leo hayo mabomu na kupora watu ni kitongaaaa
Hakika!Kichwa kimechafuka kwa moshi
Kuna timu ndumila-kuwili imeambiwa saa moja yenyewe sawa ingeambiwa saa 10 sawa tu bila kujali kanuni zinasemaje juu ya mabadiliko yeyote.Ukome kudhabikia vyura
Wamemkosea sana huyu MuhaView attachment 1777847
nitawaambia nini Waha!?