Mabomu ya Machozi Kutumika Uwanja Wa Taifa Kutawanya Watu

Habari.

Hadi sasa baada ya kutangazwa kuahirishwa kwa mechi kati ya Simba Sc Vs Young Africans.

Police wanatumia mabomu ya machozi kutawanya watu.

Kwa aliye na ndugu jamaa na rafiki hakika huku uwanjani mambo yamekuwa karaha.

Nitaleta mrejesho zaidi acha nipambane kujiokoa na mabomu ya machozi haya ndugu zangu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni

Kichwa Kichafu.
Ukome kudhabikia vyura
 
Screenshot_2021-05-08-19-02-00-1.png

nitawaambia nini Waha!?
 
Back
Top Bottom