johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Wakazi wa kijiji cha Ruganzo kata ya Kibimba wilayani Ngara mkoani Kagera wamekubwa na hofu baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa kipande cha kombora kuanguka kwenye eneo lao
Wakazi hao wamesema kitu hicho chenye umbo la yai, kikiwa na nyuzi nyuzi na ukubwa wa sentimeta 50 kianguka jirani na uwanja wa ndege ulioko kjiji hapo usiku wa kuamkia leo
Wakazi hao wamesema kitu hicho huenda na kipande cha kombora kilichoanguka kwenye eneo lao kutokana na mapigano yanayoendelea katika ejeo la mashariki mwa DRC ambako ni jirani na Ngara
Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw Costantine Kanyasu ammbaye amefika kwneye eneo la tukio amesema hakuna mtu ambaye kwa sasa anaweza kutambua kitu hicho, hivyo wamewaomba wataalamu wa mabomu kutoka kambi ya Jehsi la Biharamulo ili kuweza kukitambua na kukishughulikia
"Binafsi sijawahi kuona kitu kama hiki, labda ni kimondo lakini tuwasubiri wataaalmu watatoa taarifa zaidi juu ya kitu hiki"
Katika hatua nyingine wakazi wa kata za Kabanga na Mugoma zilizoko mpakani mwa tanznaia na Burundi wamesema usiku wa kuamkia leo wamesikia milio ya bunduki wakidai inatokea DRC ambako wasi w akundi la M23 wanapambana na majehsi ya serikali
Diwani wa kata ya Kabanga Bw Said Suod amesema usiku wa kuamkia leo wamesikia milioni ya silaha inayosadikiwa kutokea nchini DRC
Wakazi hao wamesema kitu hicho chenye umbo la yai, kikiwa na nyuzi nyuzi na ukubwa wa sentimeta 50 kianguka jirani na uwanja wa ndege ulioko kjiji hapo usiku wa kuamkia leo
Wakazi hao wamesema kitu hicho huenda na kipande cha kombora kilichoanguka kwenye eneo lao kutokana na mapigano yanayoendelea katika ejeo la mashariki mwa DRC ambako ni jirani na Ngara
Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw Costantine Kanyasu ammbaye amefika kwneye eneo la tukio amesema hakuna mtu ambaye kwa sasa anaweza kutambua kitu hicho, hivyo wamewaomba wataalamu wa mabomu kutoka kambi ya Jehsi la Biharamulo ili kuweza kukitambua na kukishughulikia
"Binafsi sijawahi kuona kitu kama hiki, labda ni kimondo lakini tuwasubiri wataaalmu watatoa taarifa zaidi juu ya kitu hiki"
Katika hatua nyingine wakazi wa kata za Kabanga na Mugoma zilizoko mpakani mwa tanznaia na Burundi wamesema usiku wa kuamkia leo wamesikia milio ya bunduki wakidai inatokea DRC ambako wasi w akundi la M23 wanapambana na majehsi ya serikali
Diwani wa kata ya Kabanga Bw Said Suod amesema usiku wa kuamkia leo wamesikia milioni ya silaha inayosadikiwa kutokea nchini DRC