Mabomu ya awamu ya 5 yanaweza kumlipukia Rais Samia

Anna Nkya

Member
Oct 21, 2021
69
341
Nimesoma Twitter, Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu umeme.

Zitto anasema katika miaka mitano iliyopita hatukuongeza uzalishaji wa umeme wa maji na ukweli ni kwamba uzalishaji ulipungua. HILO LILIKUWA BOMU LA KWANZA LA SERIKALI YA WAMU YA 5 ambalo lazima kuna siku lingelipuka. Hili hapa linalipuka, Rais Samia ndiye yuko madarakani

Wakati huo hatukuwa tunafanya ukaratabati wa miundombinu ya umeme. Hivyo tulikuwa tunatumia mbinu za muda mfupi kujikinga na janga. Namaanisha, tulikuwa hatukarabati kwa hofu kwamba ungekatika kwa wakati ule, lakini kukatika kule kungekuwa kwa muda mfupi tu. NI BOMU LINGINE, Linalipuka Rais Samia akiwa madarakani.

Tuwe wa kweli, ni kipindi kirefu hatujaona jua kali kiasi kilichopo sasa. Wenzetu waliopo Dar wanaweza kueleza zaid.

Jua kali hivi lazima liathiri vyanzo vya maji, na hivyo kauthiri uzalishaji wa umeme pamoja na upatikanajia wa maji majumbani. BOMU LINALOTISHA HAPA ni kwamba tumewekeza sana kwenye umeme wa maji. Kule Rufiji tuna mradi wa zaidi ya trilioni 6.

Je, tuna uhakika mradi ule hautapigwa na athari za mabadiliko ya tabianchi? NADHANI NI BOMU HILO kwa maana naamini Rais Samia angetumia fedha zilizoelekezwa Rufiji kuwekeza kwenye gesi na vyanzo vingine vya umeme. Lakini Serikali iliyopita ilishafika hatua ambayo Samia hana uchaguzi zaidi ya kukamilisha mradi ule.

IMANI YETU KUBWA: Rais Samia atategua vyema mabomu haya na tutavuka salama. Kila la heri Rais wetu mpenndwa.
 
Wapumbavu wanasahau tushaelezwa gesi sio yetu tena, walitaka JPM ashiriki ujambazi wao kwa Taifa kwa kuwajengea miundombinu. Mungu anawaona, tunamfahamu vizuri sana Zitto ni Kipara na Kipara ni Zitto, walitueleza umeme unakatwa ili wafanye service za mitambo, leo wamesahau wanasema ni mambo ya tabia nchi... pathetic
 
Kama madeni ya ndani yalikuwa hayalipwi sitashangaa muendelezo wa kuwa na maji ya kutosha kwenye mabwawa ungelikuwepo
 
Wapumbavu wanasahau tushaelezwa gesi sio yetu tena, walitaka JPM ashiriki ujambazi wao kwa Taifa kwa kuwajengea miundombinu...Mungu anawaona, tunamfahamu vizuri sana Zitto ni Kipara na Kipara ni Zitto, walitueleza umeme unakatwa ili wafanye service za mitambo, leo wamesahau wanasema ni mambo ya tabia nchi... pathetic
Pole sana...

Bila shaka nawe ni Victim mwingine wa uongo wa awamu iliyopita, au uliamua tu kusikiliza kila unachoambiwa:-
LNMG.png


Sasa kama gesi sio yetu, how come tena serikali hiyo hiyo kwa mlango wa nyuma ilikuwa inaendelea na mazungumzo kuhusu ujenzi wa Kiwanda cha Kusindika Gesi lakini ikikutana na wananchi, wanawaambia "gesi yote imeshauzwa"?



Au hiyo gas imeuzwa baada ya kifo cha JPM?!
 
Pole sana...

Bila shaka nawe ni Victim mwingine wa uongo wa awamu iliyopita, au uliamua tu kusikiliza kila unachoambiwa:-
View attachment 2015605

Sasa kama gesi sio yetu, how come tena serikali hiyo hiyo kwa mlango wa nyuma ilikuwa inaendelea na mazungumzo kuhusu ujenzi wa Kiwanda cha Kusindika Gesi lakini ikikutana na wananchi, wanawaambia "gesi yote imeshauzwa"?

Taahi.ra mwingine wewe, tumiweni tu siku mambo yakianza kuanikwa mtafurahi.
 
Taahi.ra mwingine wewe, tumiweni tu siku mambo yakianza kuanikwa mtafurahi.
Jibu swali we kima wa kike

Kama gesi imeuzwa kwanini basi serikali ilikuwa inaendelea na suala la ujenzi wa kiwanda cha kusindika gesi?

Ulivyo mpumbavu unashindwa kujua kwamba wewe ndo tahira uliyekuwa unameza kila uongo unaoambiwa , na hapo unawekewa maelezo ya hao hao yanayoelezea hali halisi, unaanza matusi..

VERY STUPID!!
 
Jibu swali we kima wa kike

Kama gesi imeuzwa kwanini basi serikali ilikuwa inaendelea na suala la ujenzi wa kiwanda cha kusindika gesi?

Ulivyo mpumbavu unashindwa kujua kwamba wewe ndo tahira uliyekuwa unameza kila uongo unaoambiwa , na hapo unawekewa maelezo ya hao hao yanayoelezea hali halisi, unaanza matusi..

VERY STUPID!!
Hahaha... wapumliwa visogoni kama wewe huwa siargue nao, "watanzania" wanaona na wanajua kinachoendelea, wametulia tuliiii...wala hawana smartphones, tukaneni sana, siku yaja mtafurahi.
 
Hahaha... wapumliwa visogoni kama wewe huwa siargue nao, "watanzania" wanaona na wanajua kinachoendelea, wametulia tuliiii...wala hawana smartphones, tukaneni sana, siku yaja mtafurahi.
WE kima jike, nimekuambia jibu ulichoulizwa, kenge wewe!

Au unakuwa mpumbavu kiasi unashindwa hata kujibu swali jepesi kama hilo?
 
Wapumbavu wanasahau tushaelezwa gesi sio yetu tena, walitaka JPM ashiriki ujambazi wao kwa Taifa kwa kuwajengea miundombinu...Mungu anawaona, tunamfahamu vizuri sana Zitto ni Kipara na Kipara ni Zitto, walitueleza umeme unakatwa ili wafanye service za mitambo, leo wamesahau wanasema ni mambo ya tabia nchi... pathetic

Kwani nchi tajiri imefilisika lini?
 
Pole sana...

Bila shaka nawe ni Victim mwingine wa uongo wa awamu iliyopita, au uliamua tu kusikiliza kila unachoambiwa:-
View attachment 2015605

Sasa kama gesi sio yetu, how come tena serikali hiyo hiyo kwa mlango wa nyuma ilikuwa inaendelea na mazungumzo kuhusu ujenzi wa Kiwanda cha Kusindika Gesi lakini ikikutana na wananchi, wanawaambia "gesi yote imeshauzwa"?



Au hiyo gas imeuzwa baada ya kifo cha JPM?!

Miaka mitano ya Jpm ilijikita kweny uongo mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom