Ni ngumu sana damage iliyofanywa kwa watu na taifa kufutika kirahisi rahisi. Na utakaposhangaa ni pale wengine wanapolazimisha eti asitajwe wakati kuna watu wamefariki miaka zaidi ya 100 iliyopita, na bado hawajaachwa!!Sumu ya yule jamaa haitotoka kiurahisi Mkuu.
Wanavyomchukia Samia nia ajabu. Ila ajabu kubwa haohao walikuwa tayari kufanya uhaini wa kumsimika rais waliyemtaka wao bila uwoga baada ya Taa kuzimika....taaa! Na hili wangelipongeza hawa walevi wa Pombe.
Hawa watu ni wahaini. Ndiyo maana hawana akili, akili yao ni uhaini tu.