Mabomu ya awamu ya 5 yanaweza kumlipukia Rais Samia

Sumu ya yule jamaa haitotoka kiurahisi Mkuu.

Wanavyomchukia Samia nia ajabu. Ila ajabu kubwa haohao walikuwa tayari kufanya uhaini wa kumsimika rais waliyemtaka wao bila uwoga baada ya Taa kuzimika....taaa! Na hili wangelipongeza hawa walevi wa Pombe.

Hawa watu ni wahaini. Ndiyo maana hawana akili, akili yao ni uhaini tu.
Ni ngumu sana damage iliyofanywa kwa watu na taifa kufutika kirahisi rahisi. Na utakaposhangaa ni pale wengine wanapolazimisha eti asitajwe wakati kuna watu wamefariki miaka zaidi ya 100 iliyopita, na bado hawajaachwa!!
 
Nimesoma Twitter, Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu umeme.

Zitto anasema katika miaka mitano iliyopita hatukuongeza uzalishaji wa umeme wa maji na ukweli ni kwamba uzalishaji ulipungua. HILO LILIKUWA BOMU LA KWANZA LA SERIKALI YA WAMU YA 5 ambalo lazima kuna siku lingelipuka. Hili hapa linalipuka, Rais Samia ndiye yuko madarakani

Wakati huo hatukuwa tunafanya ukaratabati wa miundombinu ya umeme. Hivyo tulikuwa tunatumia mbinu za muda mfupi kujikinga na janga. Namaanisha, tulikuwa hatukarabati kwa hofu kwamba ungekatika kwa wakati ule, lakini kukatika kule kungekuwa kwa muda mfupi tu. NI BOMU LINGINE, Linalipuka Rais Samia akiwa madarakani.

Tuwe wa kweli, ni kipindi kirefu hatujaona jua kali kiasi kilichopo sasa. Wenzetu waliopo Dar wanaweza kueleza zaid.

Jua kali hivi lazima liathiri vyanzo vya maji, na hivyo kauthiri uzalishaji wa umeme pamoja na upatikanajia wa maji majumbani. BOMU LINALOTISHA HAPA ni kwamba tumewekeza sana kwenye umeme wa maji. Kule Rufiji tuna mradi wa zaidi ya trilioni 6. Je, tuna uhakika mradi ule hautapigwa na athari za mabadiliko ya tabianchi? NADHANI NI BOMU HILO kwa maana naamini Rais Samia angetumia fedha zilizoelekezwa Rufiji kuwekeza kwenye gesi na vyanzo vingine vya umeme. Lakini Serikali iliyopita ilishafika hatua ambayo Samia hana uchaguzi zaidi ya kukamilisha mradi ule.

IMANI YETU KUBWA : Rais Samia atategua vyema mabomu haya na tutavuka salama. Kila la heri Rais wetu mpenndwa.
Mkuu kuliacha ilo bwawa la Nyerere KWA lilipofikia ,naona bado ni hasara kubwa KWA taifa,limetusomesha no Sana ni vyema likamilike then tuangalie gesi hakuna namna ,tukilitelekeza itakua biashara kichaa, awam ya tano ilicho kifanyia Taifa Mungu ndo anajua, ila KWA sura nyingine awam ya 5 ndo ya sita kilichobadilika ni namber tu 5na 6
 
Nimesoma Twitter, Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu umeme.

Zitto anasema katika miaka mitano iliyopita hatukuongeza uzalishaji wa umeme wa maji na ukweli ni kwamba uzalishaji ulipungua. HILO LILIKUWA BOMU LA KWANZA LA SERIKALI YA WAMU YA 5 ambalo lazima kuna siku lingelipuka. Hili hapa linalipuka, Rais Samia ndiye yuko madarakani

Wakati huo hatukuwa tunafanya ukaratabati wa miundombinu ya umeme. Hivyo tulikuwa tunatumia mbinu za muda mfupi kujikinga na janga. Namaanisha, tulikuwa hatukarabati kwa hofu kwamba ungekatika kwa wakati ule, lakini kukatika kule kungekuwa kwa muda mfupi tu. NI BOMU LINGINE, Linalipuka Rais Samia akiwa madarakani.

Tuwe wa kweli, ni kipindi kirefu hatujaona jua kali kiasi kilichopo sasa. Wenzetu waliopo Dar wanaweza kueleza zaid.

Jua kali hivi lazima liathiri vyanzo vya maji, na hivyo kauthiri uzalishaji wa umeme pamoja na upatikanajia wa maji majumbani. BOMU LINALOTISHA HAPA ni kwamba tumewekeza sana kwenye umeme wa maji. Kule Rufiji tuna mradi wa zaidi ya trilioni 6. Je, tuna uhakika mradi ule hautapigwa na athari za mabadiliko ya tabianchi? NADHANI NI BOMU HILO kwa maana naamini Rais Samia angetumia fedha zilizoelekezwa Rufiji kuwekeza kwenye gesi na vyanzo vingine vya umeme. Lakini Serikali iliyopita ilishafika hatua ambayo Samia hana uchaguzi zaidi ya kukamilisha mradi ule.

IMANI YETU KUBWA : Rais Samia atategua vyema mabomu haya na tutavuka salama. Kila la heri Rais wetu mpenndwa.
Hivi mnajitoa akili au? Mama Samia ndie naibu Raisi so kila kitu alipanga nae Mwendazake so hakuna tofauti lao ni moja so result zao wote hakuna cha awamu ya tano wala Sita kama uozo ni uozo na kama nzuri ni nzuri tu hakuna cha kutofautisha hapo... na Mama mwenyewe alishasema la Magu ni lake
 
Humu ndo wamejazwa wanasema "kuua" legacy na hawajui wanachokifanya ndo kitowatafuna, kule field wala hawana smartphones hizi wanazotumia kumtukana, wamwambie huyo Zito akasimame jukwaani aongee huo utumbo aone kitachompata.
Sumve 2015 mimi niko kijijini Iselamagazi - Shinyanga na wenzangu na smartphone tunazo za kutosha na tunajua yote..

By the way unaelewa hata maana ya "legacy" kweli wewe?

Tuashumu unaelewa. Na naamini unaelewa kuwa mtu aweza kuacha kumbukumbu mbaya au nzuri, au siyo..? Sasa baba yako ametuachia kumbukumbu gani...?

Kwa hiyo ni kweli kabisa, baba yako Maguguli Pombe ameacha kumbukumbu (wewe unaita - legacy) ambayo pengine haitafutika kwenye vichwa vya watu...

You know what?

It's NEGATIVE LEGACY. Ni kumbukumbu mbaya. Ndiyo hii ya mgawo wa umeme...

Ushauri kwako.

Acha Mwendazake aende zake apotee na mabaya yake. Think about the future, think about positivity. Forget about him and his negativity...
 
Nimesoma Twitter, Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu umeme.

Zitto anasema katika miaka mitano iliyopita hatukuongeza uzalishaji wa umeme wa maji na ukweli ni kwamba uzalishaji ulipungua. HILO LILIKUWA BOMU LA KWANZA LA SERIKALI YA WAMU YA 5 ambalo lazima kuna siku lingelipuka. Hili hapa linalipuka, Rais Samia ndiye yuko madarakani

Wakati huo hatukuwa tunafanya ukaratabati wa miundombinu ya umeme. Hivyo tulikuwa tunatumia mbinu za muda mfupi kujikinga na janga. Namaanisha, tulikuwa hatukarabati kwa hofu kwamba ungekatika kwa wakati ule, lakini kukatika kule kungekuwa kwa muda mfupi tu. NI BOMU LINGINE, Linalipuka Rais Samia akiwa madarakani.

Tuwe wa kweli, ni kipindi kirefu hatujaona jua kali kiasi kilichopo sasa. Wenzetu waliopo Dar wanaweza kueleza zaid.

Jua kali hivi lazima liathiri vyanzo vya maji, na hivyo kauthiri uzalishaji wa umeme pamoja na upatikanajia wa maji majumbani. BOMU LINALOTISHA HAPA ni kwamba tumewekeza sana kwenye umeme wa maji. Kule Rufiji tuna mradi wa zaidi ya trilioni 6. Je, tuna uhakika mradi ule hautapigwa na athari za mabadiliko ya tabianchi? NADHANI NI BOMU HILO kwa maana naamini Rais Samia angetumia fedha zilizoelekezwa Rufiji kuwekeza kwenye gesi na vyanzo vingine vya umeme. Lakini Serikali iliyopita ilishafika hatua ambayo Samia hana uchaguzi zaidi ya kukamilisha mradi ule.

IMANI YETU KUBWA : Rais Samia atategua vyema mabomu haya na tutavuka salama. Kila la heri Rais wetu mpenndwa.
Upumbavu mwingine wa kalne mlianza na muhongo pasi ikapigwa kwa January akapiga v pass kwa zito akarejesha nyuma kwa vp akadai maradi wa MNHPP unahujumiwa Mara Hilo like na kule Leni Ni moja kuwairejeshea kina singh.
Moja ya Jambo litakalo wamaliza kwa sasa chezeni na umeme mtaondoka nawaapia,
Heri mabomu yalitengenezwa na mwendazakeeee! Samia alikuwa serikari gani? Mpango je? Msitufanye wajinga, dabueni tutakutana 2025.
 
Sumve 2015 mimi niko kijijini Iselamagazi - Shinyanga na wenzangu na smartphone tunazo za kutosha na tunajua yote..

By the way unaelewa hata maana ya "legacy" kweli wewe?

Tuashumu unaelewa. Na naamini unaelewa kuwa mtu aweza kuacha kumbukumbu mbaya au nzuri, au siyo..? Sasa baba yako ametuachia kumbukumbu gani...?

Kwa hiyo ni kweli kabisa, baba yako Maguguli Pombe ameacha kumbukumbu (wewe unaita - legacy) ambayo pengine haitafutika kwenye vichwa vya watu...

You know what?

It's NEGATIVE LEGACY. Ni kumbukumbu mbaya. Ndiyo hii ya mgawo wa umeme...

Ushauri kwako.

Acha Mwendazake aende zake apotee na mabaya yake. Think about the future, think about positivity. Forget about him and his negativity...
Wapuuzi wakubwa nyie hatukuwahi kusikia mgao miaka yote ya mwendazake mtukome****
 
Nimesoma Twitter, Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu umeme.

Zitto anasema katika miaka mitano iliyopita hatukuongeza uzalishaji wa umeme wa maji na ukweli ni kwamba uzalishaji ulipungua. HILO LILIKUWA BOMU LA KWANZA LA SERIKALI YA WAMU YA 5 ambalo lazima kuna siku lingelipuka. Hili hapa linalipuka, Rais Samia ndiye yuko madarakani

Wakati huo hatukuwa tunafanya ukaratabati wa miundombinu ya umeme. Hivyo tulikuwa tunatumia mbinu za muda mfupi kujikinga na janga. Namaanisha, tulikuwa hatukarabati kwa hofu kwamba ungekatika kwa wakati ule, lakini kukatika kule kungekuwa kwa muda mfupi tu. NI BOMU LINGINE, Linalipuka Rais Samia akiwa madarakani.

Tuwe wa kweli, ni kipindi kirefu hatujaona jua kali kiasi kilichopo sasa. Wenzetu waliopo Dar wanaweza kueleza zaid.

Jua kali hivi lazima liathiri vyanzo vya maji, na hivyo kauthiri uzalishaji wa umeme pamoja na upatikanajia wa maji majumbani. BOMU LINALOTISHA HAPA ni kwamba tumewekeza sana kwenye umeme wa maji. Kule Rufiji tuna mradi wa zaidi ya trilioni 6.

Je, tuna uhakika mradi ule hautapigwa na athari za mabadiliko ya tabianchi? NADHANI NI BOMU HILO kwa maana naamini Rais Samia angetumia fedha zilizoelekezwa Rufiji kuwekeza kwenye gesi na vyanzo vingine vya umeme. Lakini Serikali iliyopita ilishafika hatua ambayo Samia hana uchaguzi zaidi ya kukamilisha mradi ule.

IMANI YETU KUBWA: Rais Samia atategua vyema mabomu haya na tutavuka salama. Kila la heri Rais wetu mpenndwa.
Ukarabati wa miundo mbinu ya umeme haufanywi na serikali kuu. Tanesco ni shirika ambalo linaendesha mambo yake lenyewe. Maswala yake ya maintanance hayaingiliwi na serikali. Ni wapi serikali iliyopita iliiambia Tanesco isifanye ukarabati wa miundo mbinu yake? Msichanganywe na kina JEPESI wanaotetea matumbo yao. Hii nchi inakwamishwa na unafiki kwa sehemu kubwa sana.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom