Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,498
- 86,015
Anakuungganisha waya halafu umeme utajua mwenyewe wapi utaupataYule jamaa aliwaunga Wanavijiji kwenye REA wakati anajua fika vyanzo vya kufua Umeme ni vya kuungaunga.
Anakuungganisha waya halafu umeme utajua mwenyewe wapi utaupataYule jamaa aliwaunga Wanavijiji kwenye REA wakati anajua fika vyanzo vya kufua Umeme ni vya kuungaunga.
Wewe ni mjinga mbona miaka mitano hakuyumba hata kidogo leo siku tatu ujinga umeanza sema wamerudi wenyewe mwendo mdundo makamba aliporejea tu nikajua tunarudi kulekuleYule jamaa aliwaunga Wanavijiji kwenye REA wakati anajua fika vyanzo vya kufua Umeme ni vya kuungaunga.
Ni mtazamo wake tuu na hauna ukweli wowote kisayansi zaidi ya porojo . These kind of politicians have been a waste to this country....everyone is working to fill his/ her stomach without considering our future generations.Nimesoma Twitter, Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu umeme.
Zitto anasema katika miaka mitano iliyopita hatukuongeza uzalishaji wa umeme wa maji na ukweli ni kwamba uzalishaji ulipungua. HILO LILIKUWA BOMU LA KWANZA LA SERIKALI YA WAMU YA 5 ambalo lazima kuna siku lingelipuka. Hili hapa linalipuka, Rais Samia ndiye yuko madarakani
Wakati huo hatukuwa tunafanya ukaratabati wa miundombinu ya umeme. Hivyo tulikuwa tunatumia mbinu za muda mfupi kujikinga na janga. Namaanisha, tulikuwa hatukarabati kwa hofu kwamba ungekatika kwa wakati ule, lakini kukatika kule kungekuwa kwa muda mfupi tu. NI BOMU LINGINE, Linalipuka Rais Samia akiwa madarakani.
Tuwe wa kweli, ni kipindi kirefu hatujaona jua kali kiasi kilichopo sasa. Wenzetu waliopo Dar wanaweza kueleza zaid.
Jua kali hivi lazima liathiri vyanzo vya maji, na hivyo kauthiri uzalishaji wa umeme pamoja na upatikanajia wa maji majumbani. BOMU LINALOTISHA HAPA ni kwamba tumewekeza sana kwenye umeme wa maji. Kule Rufiji tuna mradi wa zaidi ya trilioni 6. Je, tuna uhakika mradi ule hautapigwa na athari za mabadiliko ya tabianchi? NADHANI NI BOMU HILO kwa maana naamini Rais Samia angetumia fedha zilizoelekezwa Rufiji kuwekeza kwenye gesi na vyanzo vingine vya umeme. Lakini Serikali iliyopita ilishafika hatua ambayo Samia hana uchaguzi zaidi ya kukamilisha mradi ule.
IMANI YETU KUBWA : Rais Samia atategua vyema mabomu haya na tutavuka salama. Kila la heri Rais wetu mpenndwa.
Yaani ni miaka ambayo watu tuligeuzwa ndondocha huku wengine wakifurahia kuwa ndondocha manake unapowadhihirishia yaliyo dhahiri, kwa uzwazwa wanaamua kuendelea kukumbatia uongo!!Miaka mitano ya Jpm ilijikita kweny uongo mwanzo mwisho
Mataga bwana hamjambo kwa pointlessNi mtazamo wake tuu na hauna ukweli wowote kisayansi zaidi ya porojo . These kind of politicians have been a waste to this country....everyone is working to fill his/ her stomach without considering our future generations.
Kuna muda huwa nawaza kuwa wapinzani watanzania ni Kama hawajui wanataka Nini.
1.Je wanataka kuongoza nchi?
2. Je wanashindania ni chama gani kitakuwa Chama kikuu Cha upinzani?
3.Au wanatafuta mwanya na wao wazishambulie rasilimali za nchi Kama wenzao wanavyofanya?
4. Au labda wanataka kulipiza kisasi kwa ccm inavyotumia dola kuwaminya?
Mpaka leo hujui upinzani unataka nini? we utakuwa mjinga wa kutupwa nchi nzima.Ni mtazamo wake tuu na hauna ukweli wowote kisayansi zaidi ya porojo . These kind of politicians have been a waste to this country....everyone is working to fill his/ her stomach without considering our future generations.
Kuna muda huwa nawaza kuwa wapinzani watanzania ni Kama hawajui wanataka Nini.
1.Je wanataka kuongoza nchi?
2. Je wanashindania ni chama gani kitakuwa Chama kikuu Cha upinzani?
3.Au wanatafuta mwanya na wao wazishambulie rasilimali za nchi Kama wenzao wanavyofanya?
4. Au labda wanataka kulipiza kisasi kwa ccm inavyotumia dola kuwaminya?
Tulia iingie🥰Mataga bwana hamjambo kwa pointless
Hivi Kuna upinzani nchi hii....upinzani wa Twitter? So pathetic.Mpaka leo hujui upinzani unataka nini? we utakuwa mjinga wa kutupwa nchi nzima.
Sumu ya yule jamaa haitotoka kiurahisi Mkuu.Yaani ni miaka ambayo watu tuligeuzwa ndondocha huku wengine wakifurahia kuwa ndondocha manake unapowadhihirishia yaliyo dhahiri, kwa uzwazwa wanaamua kuendelea kukumbatia uongo!!
Mkuu, salaamu.Pole sana...
Bila shaka nawe ni Victim mwingine wa uongo wa awamu iliyopita, au uliamua tu kusikiliza kila unachoambiwa:-
Ingia barabarani wewe si mnampinga Hanganya mkiwa uvunguniHivi Kuna upinzani nchi hii....upinzani wa Twitter? So pathetic.
Hahaha...mkuu yaishe Basi sisi sote ni wahanga wa siasa mbovu za nchi hii.....sio ccm Wala upinzani wote ni walewale. Usije kunikaba bure ndotoni.😂😂🙏🙏Ingia barabarani wewe si mnampinga Hanganya mkiwa uvunguni
Nyie ccm mna neemekaHahaha...mkuu yaishe Basi sisi sote ni wahanga wa siasa mbovu za nchi hii.....sio ccm Wala upinzani wote ni walewale. Usije kunikaba bure ndotoni.😂😂🙏🙏
Hapana mkuu wakubwa ndio wananeemeka sie makapuku siku ya nne hatuna maji.Nyie ccm mna neemeka
Mnatuchora tu hapa. Hulo Masako unakoishi kuna tatizo la maji? Kila nyumba ina Simu tank la litre laki moja. Hata yakikatika mwakaHapana mkuu wakubwa ndio wananeemeka sie makapuku siku ya nne hatuna maji.
Wapumbavu wanasahau tushaelezwa gesi sio yetu tena, walitaka JPM ashiriki ujambazi wao kwa Taifa kwa kuwajengea miundombinu...Mungu anawaona, tunamfahamu vizuri sana Zitto ni Kipara na Kipara ni Zitto, walitueleza umeme unakatwa ili wafanye service za mitambo, leo wamesahau wanasema ni mambo ya tabia nchi... pathetic
Wee na wee unatetea ujinga ..kikwete rafiki yake na zito aliongeza kiasi gani cha umemeNimesoma Twitter, Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu umeme.
Zitto anasema katika miaka mitano iliyopita hatukuongeza uzalishaji wa umeme wa maji na ukweli ni kwamba uzalishaji ulipungua. HILO LILIKUWA BOMU LA KWANZA LA SERIKALI YA WAMU YA 5 ambalo lazima kuna siku lingelipuka. Hili hapa linalipuka, Rais Samia ndiye yuko madarakani
Wakati huo hatukuwa tunafanya ukaratabati wa miundombinu ya umeme. Hivyo tulikuwa tunatumia mbinu za muda mfupi kujikinga na janga. Namaanisha, tulikuwa hatukarabati kwa hofu kwamba ungekatika kwa wakati ule, lakini kukatika kule kungekuwa kwa muda mfupi tu. NI BOMU LINGINE, Linalipuka Rais Samia akiwa madarakani.
Tuwe wa kweli, ni kipindi kirefu hatujaona jua kali kiasi kilichopo sasa. Wenzetu waliopo Dar wanaweza kueleza zaid.
Jua kali hivi lazima liathiri vyanzo vya maji, na hivyo kauthiri uzalishaji wa umeme pamoja na upatikanajia wa maji majumbani. BOMU LINALOTISHA HAPA ni kwamba tumewekeza sana kwenye umeme wa maji. Kule Rufiji tuna mradi wa zaidi ya trilioni 6. Je, tuna uhakika mradi ule hautapigwa na athari za mabadiliko ya tabianchi? NADHANI NI BOMU HILO kwa maana naamini Rais Samia angetumia fedha zilizoelekezwa Rufiji kuwekeza kwenye gesi na vyanzo vingine vya umeme. Lakini Serikali iliyopita ilishafika hatua ambayo Samia hana uchaguzi zaidi ya kukamilisha mradi ule.
IMANI YETU KUBWA : Rais Samia atategua vyema mabomu haya na tutavuka salama. Kila la heri Rais wetu mpenndwa.
Ila JPM bhana, aliongea na Mungu kuwa pindi awapo madarakani mito ijae maji sio?Yule jamaa aliwaunga Wanavijiji kwenye REA wakati anajua fika vyanzo vya kufua Umeme ni vya kuungaunga.