LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Yaani wewe ni bomi kweli kweli, hii taarifa ilianza kuwa na mwanga lakini ulipoingiza story ya Mbowe na Lema nika gundua nasoma ugoro.
Kamanda hapa umechemka hamna chembe ukweli polisi hawajaribu kumkimbiza mtu wala kwa taarifa yako hawakushuka kwenye magari yao.
Kamanda hapa umechemka hamna chembe ukweli polisi hawajaribu kumkimbiza mtu wala kwa taarifa yako hawakushuka kwenye magari yao.