Huyu Hussein Mwinyi amezoea kujificha katika hilo koti la tume. Ikumbukwe wakati wa mabomu ya mbagala alituambia hivyo hivyo "Eti tume iliyoundwa ikithibitisha kuwepo kwa uzembe basi nitajihudhuru!"
Majibu ya tume mpaka leo wananchi hatuyajui?
Je waziri haoni kuwa mabomu ya kambi ya Changanyikeni/kunduchi nayo yatalipuka kabla tume haijatoa majibu ya gomz?
I will accept nothing less than Resignation letters from Minister and TPDF top officials!
Majibu ya tume mpaka leo wananchi hatuyajui?
Je waziri haoni kuwa mabomu ya kambi ya Changanyikeni/kunduchi nayo yatalipuka kabla tume haijatoa majibu ya gomz?
I will accept nothing less than Resignation letters from Minister and TPDF top officials!