Mabomu Gongo la Mboto: Mwinyi asema hajiuzulu

These guys are just stupid craps

Shame on him and everyone of them! Shame on the most incompetent president who is a disgrace to mankind. Shame on the so called baraza la usalama na maazimio yao waliyopendekeza. Shame on mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na kila aliyehusika kuhakikisha watz wasio na hatia wanateketea bila sababu. :laser::laser::laser::laser::laser::laser::laser::laser::laser: I feel like blowing a hole on their stupid skul right now.:A S-cry::A S-cry::A S-cry:
 
Kutokujiuzulu kwa Mwinyi kunasema zaidi juu ya Kikwete kuliko Mwinyi. Hakuna kiongozi wa juu aliyejiuzulu kwa hiari chake chini ya JK kutokana na madudu yake mwenyewe au madudu ya walio chini yake. NONE.

But, katika hili Mwinyi atajiuzulu.
 
Ona Rais anavyosikitikia Silaa na Mavazi ya Jeshi.......!!!

“Haya ni maafa ya kitaifa, kwa sababu kikosi hiki ndio makao makuu ya hifadhi ya kijeshi, ikiwemo silaha na mavazi yao ambayo mpaka sasa hivi naongea vyote vimetekelea kwa moto,”alisema Kikwete.
Aliongeza kutokana na hali hiyo msiba uliojitokeza kwa wananchi, ni msiba wa kitaifa, hivyo basi wapo pamoja nao katika kuomboleza na kuwaondoa hofu juu ya hilo".

Mkwere bana sina hata hamu nae!
 
Tutabakia kulalamika lakini kuchukuwa hatua kama za waarabu wa Tunisa na Egypt hatuwezi, kazi kupiga domo tu.:A S 20: Tuingieni mitaani kuwafukuza Mafisadi hii ndio njiaa pekee ya kuondokana na uozo wa kina Mafisadi Kikwete mwenye Kiharusi na wengine. Tuanzisheni web ya Facebook or Twiter na kupanga mkakati wa kuwafukuza wajingajinga wote. Kama Hatuwezi tusilalamike maaana tumeshalalamika sana Mafisadi wala hawatusikii:coffee:
 
Mimi naona shimbo ndiye anapaswa kujiuzuru kwanza kisha wengine wafuate, kwani kipindi chake kama mnadhimu mkuu wa jeshi, nidhamu jeshini imetoweka na wanajeshi wanalalamika sana. Hata kama mtu atasema ni hujuma, basi chanzo ni shimbo. Huyo akiondolewa wangine wafuate, ikiwa yeye hatoki basi na wengine wasitoke. Waziri Husein Mwinyi si mlinzi wala msimamizi wa nidhamu jeshini bali shimbo na wala Mwinyi hana mamlaka ya kuwaadabisha kisheria wala kinidhamu wanajeshi, mwenye madaraka hayo ni rais. Rais amwajibishe rafiki yake kipenzi Shimbo.
 
Ila nimepata idea. Wala asijiuzulu, maana akijiuzulu, atakayekuja hapo bado atateuliwa na huyo huyo mdhaifu, so atakuwa naye mdhaifu tu...
 
Hizi ni fikara potofu kabisa kuwa dawa ya tatizo kama hili ni kujiuzulu kwa Mwinyi au Mwamunyange.

Tutafute kiini cha tatizo tukishughulikie hicho. Na mimi naamini tatizo ni KUINGIZA SIASA KWENYE TAALUMA.

Mfano. Kama Mwamunyange aliwapelekea taarifa kuwa tunahitaji kufanya kitu na haya mabomu tuliyonayo/ Umeme umekosekana sehemu ya kuhifadhia mabomu kwa miezi miwili na taarifa aliwapa wana siasa wetu, wakapuuzia sasa hapo ana kosa gani mpaka ajiuzulu?????.

Nachokijua mimi ni kwamba mwaka juzi na mwaka jana jeshi liliomba pesa za kuteketeza/ kukarabati sehemu za kuhifadhia hizo zana na wanasiasa wetu wakakataa utaalamu na hawakuwapa fedha wabunge wetu wakiwa sehemu ya huo uamuzi.

Tuko gizani kwa miezi karibu mitatu sasa, kwa sababu za kisiasa tu na hata sababu zinazotolewa ni za kisiasa tu. Umekosekana tu uamuzi thabiti kuwa washa mitambo ile pale kwa sababu ya kuangalia siasa ya wakati huo inaelemea upande gani.

Sasa kwanini mtu ajiuzulu? anakosa gani? DAWA SIYO KUJIUZULU, DAWA NI KUACHA WATAALAMU WAFANYE KAZI ZAO KITAALAMU NA SIYO KUINGILIWA KISIASA KILA WAKATI.

RESPT
 
Nimemsikia waziri wa Ulinzi Mh Hussein Mwinyi akihojiwa na VoA swahili. Pamoja na maswali mengine ameulizwa kuhusu kuwajibika kwa kujiuzulu.
Mwinyi: Kujiuzulu kunatoka na makosa yaliyofanywa na mamlaka iliyoko chini ya mtu kama itadhihirika. Tusubiri tume itakayoundwa na tupate matokeo yake kwanza.

My Take:
1. Hili ni tatizo la pili kutokea. Tume ni ya nini ikiwa ile ya kwanza hatukujua nini kilifanyaka?
2. Tunajua kuwa njia rahisi ya kiongozi asiyeweza kupambanua mambo ni tume ili kutengeneza mazingira ya kutengeneza hadithi.
3. Mh Mwinyi anataka kutufanya Watanzania mbumbumbu sana.
Dhana(concept) ya kuwajibika ina maana zaidi ya moja.
a) Kuwajibika kwa makosa ya watendaji kisheria kama alivyosema yeye Mwinyi.
b) Kupisha uchunguzi halali usioingiliwa na wale wanaochunguzwa
c) Kuonyesha machungu au kutoridhika kwa kile kilichotokea, na hapa ni vifo huku
kiongozi husika akiwa na dhamana.(sympath)

Zote (a), (b), (c) zinamgusa Mh Mwinyi moja kwa moja. Wakati leo kuna watu wanamisiba mizito majumbani kwao, wengine wapo mahospitalini, watoto hawajui wazazi wapo wapi, mali zimeharibiwa na watu hawajui nini cha kufanya, makazi hakuna watu wapo kwa majirani, hivi kweli hata kama kifungu (a) na (b) hapo juu hakimhusu kiongozi, je kifungu (c) cha kuonyesha huruma na machungu nacho pia kiongozi hawezi kukifanya!!! Yaani hata huruma ya madhara yatokanayo hakuna!!, eti kwasababu tu mtu abaki kuwa waziri.

sad!!!


Yaan hii serikali yetu bwana, kila kitu tume....yametokea matukio mangapi na tume zimeundwa kibao hamna anayewajibishwa...hebu wee mwinyi jiuzulu acha ukorofi, unataka tukutoe kama yule raisi wa Misri?
 
Inabidi sasa Watanzania (wananchi) waanze kuwajibika na kusema 'sasa basi'. Kinyume cha hapo viongozi waliopo madarakani wataendelea kuchopoka katika kashfa zao kwa kutumia lugha za ulaghai na upole wa Watanzania. Mwisho ya siku Watanzania wanaendelea kuumia na hao wanaoleta majanga kuendelea kupeta. Nani aliyejua kuwa kwamba Hosni Mubarak angeondoka pamoja na kutumia nguvu za dola zaidi ya zinavyotumika Tanzania? Nguvu ya umma ni kubwa kuliko vyombo vya dola kandamizi. Nguvu ya umma ikishatamka itapata support vilevile kutoka nguvu za umma ulimwenguni pote na wanyanyasaji na wakandamizaji watakosa pa kujificha na kusalimu amri.
 
Tunataka Kikwete aanze kuwafukuza Dr.Hussein Mwinyi,Mwamnyange na Shimbo. Iwapo ataendelea kuwalinda au kuwaogopa yeye awe wa kwanza KUJIUZULU. Full stop.
 
Mwinyi ni lazima hajiudhulu, natambua kuwa tanzania wanaifanya kuwa ni ya kizazi chao kwa maana kwamba wengine hatuna mamlaka na nchi yetu, kwa hili nawaonya kwao hiyo waiite fallacy argument.

Umefika wakati hatutaki uppuzi wala upumbavu katika maisha yetu, mwinyi na mwanaye watambue hilo na kikwete hajuwe hilo, hatuhitaji pesa zao tuna taka waturejeshee uhai wa maisha ya ndugu na wanafamilia wetu.


Tanzani yakwetu sote siyo ya hussein wala mwinyi, hatuwezi tukakaa kimya huku maisha ya ndugu zetu yakiondoka kirahisi namna hii. Spika wa bunge amekri kuwa mabomu ya gongolamboto siyo la kushitkiza hii maana yake kuwa nim mtu amelala na kuamka akawaza kuzipoteza roho za watanzania wasio kuwa na hatia.

Kama ki8kwete hatamataka hussein mwinyi hajiudhulu basi hajiudhulu mwenyewe. Siku zinafika siku za mwisho za uongozi wa kikwete, kwa mbio hizi watanzania asitake tuandamane ikulu.
 
Ila nimepata idea. Wala asijiuzulu, maana akijiuzulu, atakayekuja hapo bado atateuliwa na huyo huyo mdhaifu, so atakuwa naye mdhaifu tu...
My neighbour's daughter's Foot!..huh!
Jomba umekuja na idea mpya kabisa!
 
nimemsikia waziri wa ulinzi mh hussein mwinyi akihojiwa na voa swahili. Pamoja na maswali mengine ameulizwa kuhusu kuwajibika kwa kujiuzulu.
Mwinyi: kujiuzulu kunatoka na makosa yaliyofanywa na mamlaka iliyoko chini ya mtu kama itadhihirika. Tusubiri tume itakayoundwa na tupate matokeo yake kwanza.

my take:
1. Hili ni tatizo la pili kutokea. Tume ni ya nini ikiwa ile ya kwanza hatukujua nini kilifanyaka?
2. Tunajua kuwa njia rahisi ya kiongozi asiyeweza kupambanua mambo ni tume ili kutengeneza mazingira ya kutengeneza hadithi.
3. Mh mwinyi anataka kutufanya watanzania mbumbumbu sana.
Dhana(concept) ya kuwajibika ina maana zaidi ya moja.
A) kuwajibika kwa makosa ya watendaji kisheria kama alivyosema yeye mwinyi.
B) kupisha uchunguzi halali usioingiliwa na wale wanaochunguzwa
c) kuonyesha machungu au kutoridhika kwa kile kilichotokea, na hapa ni vifo huku
kiongozi husika akiwa na dhamana.(sympath)

zote (a), (b), (c) zinamgusa mh mwinyi moja kwa moja. Wakati leo kuna watu wanamisiba mizito majumbani kwao, wengine wapo mahospitalini, watoto hawajui wazazi wapo wapi, mali zimeharibiwa na watu hawajui nini cha kufanya, makazi hakuna watu wapo kwa majirani, hivi kweli hata kama kifungu (a) na (b) hapo juu hakimhusu kiongozi, je kifungu (c) cha kuonyesha huruma na machungu nacho pia kiongozi hawezi kukifanya!!! Yaani hata huruma ya madhara yatokanayo hakuna!!, eti kwasababu tu mtu abaki kuwa waziri.

Sad!!!

.....wizi mtupu!!! Hebu aachie ngazi kwani ni njia moja ya kuwajibika!!! Alafu mie nakerwa sana na huu mtindo wa kugoma kuachia ng'azi,,,,,ni uwajibikaji!!
 
Back
Top Bottom