Ndugu wana JF naomba mnipe mafafanuzi kuhusu misaada inayotolewa kwa wahanga wa mabomu ninani hasa walengwa maana kuna wengine nyumba zao zimepigwa mabomu lakini watu hawa hawajapokea hata kipande cha mhogo wakukanga au ndio kufa kufaana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.