Mabishoo waliojifanya magari yao yamekamatwa na TRA, Sasa kuabika!

Mikopo Chefuchefu

JF-Expert Member
May 15, 2017
3,373
6,756
Siku za hivi karibuni, ukikutana na brother man anatembea kwa mguu au kapanda daladala, alikuwa anajiwahi kwa kisingizio kuwa gari lake limekamatwa na TRA :rolleyes::rolleyes::rolleyes:.
Sasa baada ya Mwigulu kuwaambia wanye magari yao waende kuyachukua, hawa mabrother man sijui watakuja na kisingizio gani...

Ama kweli njia ya muongo ni fupi. Kama umefulia tu, kuwa muwazi jamii ijue namna ya kukusaidia.:D:D:D
 
Siku za hivi karibuni, ukikutana na brother man anatembea kwa mguu au kapanda daladala, alikuwa anajiwahi kwa kisingizio kuwa gari lake limekamatwa na TRA :rolleyes::rolleyes::rolleyes:.
Sasa baada ya Mwigulu kuwaambia wanye magari yao waende kuyachukua, hawa mabrother man sijui watakuja na kisingizio gani...

Ama kweli njia ya muongo ni fupi. Kama umefulia tu, kuwa muwazi jamii ijue namna ya kukusaidia.:D:D:D
Utawasaidiaje sasa mkuu
 
Kama sielewi kitu hapa! Kwanini usimtaje mhusika? Unaogopa watu? Mtu aendeshe gari asiendeshe haongezi uhai wako so achana nae ila kama unampenda mpe kitumbua
 
Siku za hivi karibuni, ukikutana na brother man anatembea kwa mguu au kapanda daladala, alikuwa anajiwahi kwa kisingizio kuwa gari lake limekamatwa na TRA :rolleyes::rolleyes::rolleyes:.
Sasa baada ya Mwigulu kuwaambia wanye magari yao waende kuyachukua, hawa mabrother man sijui watakuja na kisingizio gani...

Ama kweli njia ya muongo ni fupi. Kama umefulia tu, kuwa muwazi jamii ijue namna ya kukusaidia.:D:D:D
unanufaika nini katika hilo?
 
Back
Top Bottom