Mabinti zetu na maisha ya kujiuza huko Malaysia

ni aslimia ndogo mno wanaojiuza.....
hata huko udsm ukiweka kwa asilimia ni ndogo mno.....

tatizo samaki mmoja akioza......
 
Kwa kuwa elimu ya Tz bado iko chini nilikuwa na wazo la kumpeleka mwanangu abroad; na nchi ambazo nilidhani kidogo watoto wana manners ni pamoja na Malaysia. Sasa sijuhi watoto wetu tuwapeleke wapi?; labda jupiter. Maana hizi western countries kwa undergraduate ndio kabisa unaweza kuzimia.

Nyumba kubwa unapoongelea swala la manners wakati mwingine inategea na mtoto mwenyewe, wapo walioenda huko wakarudi kama walivyoenda na wapo waloenda huko wakaishia kufukuzwa huko Malaysia kutokana na kushindikanika, kikubwa ni mtoto mwenyewe kujitambua na kujithamini, maaana uhuru ndio unawapelekea kufanya hayo mambo ya ajabu wakiwa na dhana ile ya nani anaeniona huku wacha mie nijiachie bwana,
 
c ndo huku mtoto wa ra na mselaake walimbaka mtoto wa mugabe miaka iliyopita? Au network yangu imegoma? Lakini suala la kujiuza ni mtu binafsi na tamaa zake! Mbona hata hapa bongo wapo!
 
Dressed sexily and scantily, these African women, most of whom claiming to be students studying at international colleges here, are openly approaching customers at these watering holes.
However, their preference is Caucasians with locals being last on their list.
hey charge anything between RM200 for a single session and RM600 for an all night session at any hotel.
These women carry glamour names like Glory, Sophea, Steffie, Joey, Sarfee, Prescia, Noami or Jim,
They are aged between 20 and 30 and claim to be from Ghana,Tanzania, Togo, Cameroon, Botswana and Nigeria. Read more
Students involved in vice at city nightclubs a worrying trend


Hapa sasa nikuzalilishana
Umejipinda unampeleka mtoto majuu kupiga book yeye anauza nyuchi huko huko kujiongezea kipato.
Kama mabinti wanauza K je wakiume wanabeba box au ..........?
 
hivi kunatofauti gani
kati ya bachelor of
science in computer
science na bachelor of science with computer
science? ? ? Na ipi ndo
ipo fresh?
 
kwani huko foreign students hawaruhusiwi kufanya kazi part time kihalali????au hamna kazi??? sasa wanaume wanatoa wapi hela? au nao wanajiuza?

Dada Jest usisahau ule usemi usemao 'man is a stronger sex'. Jamaa alishasema wateja wengi ni watalii bibie!
 
hivi kunatofauti gani
kati ya bachelor of
science in computer
science na bachelor of science with computer
science? ? ? Na ipi ndo
ipo fresh?

Hiyo ya kwanza ni purely computer studies, ila hiyo ya pili unachanganya na kozi nyingine other than those of computer. Kama sikosei kuna mihesabu hesabu na sijui maphysics kitu kama hicho.

Hii kitu ni kama Bachelor of science with education-utasoma na vitu kama physics, or biology or chemistry wakati mtu wa Bachelor of Education-yeye ni issue za education tu hayo masomo mengine hakuna. Nadhani umepata picha hapo mkuu.
 
Kwa kuwa elimu ya Tz bado iko chini nilikuwa na wazo la kumpeleka mwanangu abroad; na nchi ambazo nilidhani kidogo watoto wana manners ni pamoja na Malaysia. Sasa sijuhi watoto wetu tuwapeleke wapi?; labda jupiter. Maana hizi western countries kwa undergraduate ndio kabisa unaweza kuzimia.

Mkuu msomeshe mwanao bachelor hapa hapa bongo then kwa hizo degree za pili na tatu ndo umpeleke nje ya tz
 
Mkuu msomeshe mwanao bachelor hapa hapa bongo then kwa hizo degree za pili na tatu ndo umpeleke nje ya tz

Jamani mbona hawa wa hapa bongo nao wanajiuza tu kama njugu? Watu tunaongea kama vile hatufahamu yanayoendelea pale Mabibo hostel???
 
Hiyo ya kwanza ni purely computer studies, ila hiyo ya pili unachanganya na kozi nyingine other than those of computer. Kama sikosei kuna mihesabu hesabu na sijui maphysics kitu kama hicho.

Hii kitu ni kama Bachelor of science with education-utasoma na vitu kama physics, or biology or chemistry wakati mtu wa Bachelor of Education-yeye ni issue za education tu hayo masomo mengine hakuna. Nadhani umepata picha hapo mkuu.

Yeah, nimepata pata picha meneja! Sasa ipi inamarket hapo?
 
Back
Top Bottom