Mabinti wengi leo wameumizwa katika mapenzi, wanafanya ngono kuwaridhisha wanaume huku wakimkasirisha Mungu

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,514
Kama unampa ili umridhishe, basi kaa ukifahamu mwanaume si mtu wa kuridhika, mpe Leo, mpe kesho na bado atataka tena.

Kama unampa ili Asichepuke, basi unajidanganya..! Tamaa ya ngono na mwanaume ni kama mapacha wa tumbo moja. Kama Biblia ingeruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, basi ungejikuta wewe ni wa pili (bi mdogo), au ungetafutiwa mke mwenzako kama wewe ndio ulitangulia.
Ni Yesu tu aingilie kati na aushike moyo wake.

Kama unampa ili kudumisha Upendo.. Pole..! Mara baada ya kuona uchi wako, upendo kwa wanaume wengi hupungua, maana unakuwa hauna JIPYA kwake, maana siku mnasex yeye ndio huangalia je wewe mtamu, je una uke mpana au unabana je unamaji mengi au mkavu je unajua kunyonga kiuno baadae ndio anaanza kukulinganisha na Jully, Anna, Angel, Minah, na Felister alio sex nao juzi na jana je una mfikia hata mmoja?

Ndio maana wengi mmeachwa baada tu ya kusex au baada tu ya kusex mtu amekua na mdai ya kua busy lakini kabla hukua hivyo. Angalia utaishia kuweka msiba usiokuwa na waombolezaji. :

Kama unampa ili Akuoe, FIKIRI UPYA..! Chanzo cha ndoa si wewe Kuvua chupi yako, ndoa ni Agano takatifu ambalo mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe. JITAMBUE USIJIRAHISISHE..!

Kama unampa ili ASIKUACHE, Labda nikuambie ni nani unayepaswa kumuogopa..!
Haina haja ya kuogopa kuachwa na mwanaume (asiye na Hofu ya Mungu) maana hana sehemu ya kukupeleka, bali muogope Mungu ambaye aliyeshika maisha yako na mwenye uwezo wa kukuhukumu Katika Jehanum ya MILELE, kwa dhambi hiyo ya Uzinzi unayoifanya. ;
Mabinti wengi Leo wameumizwa Katika Mapenzi, wanafanya ngono kuwaridhisha wanaume huku wakimkasirisha Mungu na wengine hata kuacha IMANI (Wokovu) kabisa.

Ujumbe huu ukasaidie kukutoa kwenye maangamizo ambayo Ibilisi ameendaa kwa ajili yako. "Ndoa bila kuvua Sketi INAWEZEKANA, UKIAMUA
FB_IMG_1570627932401.jpeg
 
Kama unampa ili umridhishe, basi kaa ukifahamu mwanaume si mtu wa kuridhika, mpe Leo, mpe kesho na bado atataka tena.

Kama unampa ili Asichepuke, basi unajidanganya..! Tamaa ya ngono na mwanaume ni kama mapacha wa tumbo moja. Kama Biblia ingeruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, basi ungejikuta wewe ni wa pili (bi mdogo), au ungetafutiwa mke mwenzako kama wewe ndio ulitangulia.
Ni Yesu tu aingilie kati na aushike moyo wake.

Kama unampa ili kudumisha Upendo.. Pole..! Mara baada ya kuona uchi wako, upendo kwa wanaume wengi hupungua, maana unakuwa hauna JIPYA kwake, maana siku mnasex yeye ndio huangalia je wewe mtamu, je una uke mpana au unabana je unamaji mengi au mkavu je unajua kunyonga kiuno baadae ndio anaanza kukulinganisha na Jully, Anna, Angel, Minah, na Felister alio sex nao juzi na jana je una mfikia hata mmoja?

Ndio maana wengi mmeachwa baada tu ya kusex au baada tu ya kusex mtu amekua na mdai ya kua busy lakini kabla hukua hivyo. Angalia utaishia kuweka msiba usiokuwa na waombolezaji. :

Kama unampa ili Akuoe, FIKIRI UPYA..! Chanzo cha ndoa si wewe Kuvua chupi yako, ndoa ni Agano takatifu ambalo mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe. JITAMBUE USIJIRAHISISHE..!

Kama unampa ili ASIKUACHE, Labda nikuambie ni nani unayepaswa kumuogopa..!
Haina haja ya kuogopa kuachwa na mwanaume (asiye na Hofu ya Mungu) maana hana sehemu ya kukupeleka, bali muogope Mungu ambaye aliyeshika maisha yako na mwenye uwezo wa kukuhukumu Katika Jehanum ya MILELE, kwa dhambi hiyo ya Uzinzi unayoifanya. ;
Mabinti wengi Leo wameumizwa Katika Mapenzi, wanafanya ngono kuwaridhisha wanaume huku wakimkasirisha Mungu na wengine hata kuacha IMANI (Wokovu) kabisa.

Ujumbe huu ukasaidie kukutoa kwenye maangamizo ambayo Ibilisi ameendaa kwa ajili yako. "Ndoa bila kuvua Sketi INAWEZEKANA, UKIAMUAView attachment 1228445
Wasubiri Wadau waje mubashara kwanza
 
Na kwa nini ikusumbue? Inaonyesha wewe ndo unapata shida zaidi na jinsi Wanawake walivyoamua kuishi kuliko Wanawake wenyewe, vinginevyo wao ndo wangekuja hapa kulalamika na kulia lia!
 
Ni kweli mtupu
Kama unampa ili umridhishe, basi kaa ukifahamu mwanaume si mtu wa kuridhika, mpe Leo, mpe kesho na bado atataka tena.

Kama unampa ili Asichepuke, basi unajidanganya..! Tamaa ya ngono na mwanaume ni kama mapacha wa tumbo moja. Kama Biblia ingeruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, basi ungejikuta wewe ni wa pili (bi mdogo), au ungetafutiwa mke mwenzako kama wewe ndio ulitangulia.
Ni Yesu tu aingilie kati na aushike moyo wake.

Kama unampa ili kudumisha Upendo.. Pole..! Mara baada ya kuona uchi wako, upendo kwa wanaume wengi hupungua, maana unakuwa hauna JIPYA kwake, maana siku mnasex yeye ndio huangalia je wewe mtamu, je una uke mpana au unabana je unamaji mengi au mkavu je unajua kunyonga kiuno baadae ndio anaanza kukulinganisha na Jully, Anna, Angel, Minah, na Felister alio sex nao juzi na jana je una mfikia hata mmoja?

Ndio maana wengi mmeachwa baada tu ya kusex au baada tu ya kusex mtu amekua na mdai ya kua busy lakini kabla hukua hivyo. Angalia utaishia kuweka msiba usiokuwa na waombolezaji. :

Kama unampa ili Akuoe, FIKIRI UPYA..! Chanzo cha ndoa si wewe Kuvua chupi yako, ndoa ni Agano takatifu ambalo mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe. JITAMBUE USIJIRAHISISHE..!

Kama unampa ili ASIKUACHE, Labda nikuambie ni nani unayepaswa kumuogopa..!
Haina haja ya kuogopa kuachwa na mwanaume (asiye na Hofu ya Mungu) maana hana sehemu ya kukupeleka, bali muogope Mungu ambaye aliyeshika maisha yako na mwenye uwezo wa kukuhukumu Katika Jehanum ya MILELE, kwa dhambi hiyo ya Uzinzi unayoifanya. ;
Mabinti wengi Leo wameumizwa Katika Mapenzi, wanafanya ngono kuwaridhisha wanaume huku wakimkasirisha Mungu na wengine hata kuacha IMANI (Wokovu) kabisa.

Ujumbe huu ukasaidie kukutoa kwenye maangamizo ambayo Ibilisi ameendaa kwa ajili yako. "Ndoa bila kuvua Sketi INAWEZEKANA, UKIAMUAView attachment 1228445
 
Mchawi ndugu. Kwahiyo si tukigewa kumbe roho inakuuuma, unajifungia ndani unalia weeeee, unaweka bando unakopi ujumbe wa FB unaanza kusambazia wadada au siyo?
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom