Mbinu za kivita kabisa hizi...nikitaka kuondoka unatoa burungutu lako la hela ili nilione kuwa una hela,unachomoa nyekundu 3 unanipa kama nauli
Nilitumia hiyo mbinu kwa mmoja enzi hizo, siku ya kuja gheto kafungasha na begi la nguo kabisa anadai anakuja kukaa wiki wakati mahusiano yetu ndio yalikua na wiki 2, nilim'block siku hiyo hiyo.Mbinu za kivita kabisa hizi...
Ulimfukuzaa au???Nilitumia hiyo mbinu kwa mmoja enzi hizo, siku ya kuja gheto kafungasha na begi la nguo kabisa anadai anakuja kukaa wiki wakati mahusiano yetu ndio yalikua na wiki 2, nilim'block siku hiyo hiyo.
Wiki 2 za kutumia burungutu! Akili zao wanazijua wenyeweNilitumia hiyo mbinu kwa mmoja enzi hizo, siku ya kuja gheto kafungasha na begi la nguo kabisa anadai anakuja kukaa wiki wakati mahusiano yetu ndio yalikua na wiki 2, nilim'block siku hiyo hiyo.
Kuna mmoja tuko ktk urafiki, ila nimesita hata papuchi sijaomba,, niko bize asubuhi hadi saa mbili usiku,,Mda huo na wewe uombi papuchi unajifanya kijana mwema,
Sawa totoMwezi mbali hivyo? Ile umeomba namba tu nakubom vizuuuuuuri.
Naunga mkono hii hojaAisee !!!
Tatizo we demand win win situation.
Nikikupa hela nahitaji papuchi tafadhali.
#YNWA
Una boi furebndi mdada mwenye pesa?Duh!Its all about hela!hela!hela! Kama unazo si unampa tu kama hauna tafuta binti mwenye nazo akupe na ww
Aliekwambia mie ni binti ni nani?usichenguke na jina na picha..Nipo jinsia ya kiumeUna boi furebndi mdada mwenye pesa?