papaa2015
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 411
- 100
wapendwa habari zenu!
Jana usiku nikiwa njiani natokea kwenye sherehe mida ya saa 6 usiku nilipita mitaa ya Buguruni,kilichonishangaza ni kwamba nilikuta mabinti wadogo chini ya umri wa miaka 18 wakiwa wamesimama pembeni.Badae nilielezwa kwamba wale ni mabinti wanaojiuze katika hiyo ambayo iko jirani na mataa ya Buguruni na Mandela,kilichonihudhunisha ni umri wa wale mambinti na hapo ndipo nilipopatwa na haya maswali;
Je,wale mabinti ni kweli wote hawana shughuli nyingine ya kuwaingizia kipato zaidi ya kujiuza katika umri mdogo na kuhatarisha maisha yao?
Je,mwenye bar hatambui kuwa ni kinyume na sheria kuruhusu watoto wadogo kuwa bar usiku wa manane na kuwauzia pombe pamoja na kuruhusu kuingia guest na wanaume?
Je,vijana wanaotarajia kuoa,hawa ndo wachumba watakaojenga nao maisha?
Nini hatma ya vita dhidi ya ukimwi na maisha ya vijana?
Lakini,kwa wanaume wanaotembea na hawa mabinti hawajui kwamba wanawabaka kulingana na umri wao kuwa mdogo kisheria kuweza kufanya makubaliano?
BONGO ZAIDI YA NIIJUAVYO......
Jana usiku nikiwa njiani natokea kwenye sherehe mida ya saa 6 usiku nilipita mitaa ya Buguruni,kilichonishangaza ni kwamba nilikuta mabinti wadogo chini ya umri wa miaka 18 wakiwa wamesimama pembeni.Badae nilielezwa kwamba wale ni mabinti wanaojiuze katika hiyo ambayo iko jirani na mataa ya Buguruni na Mandela,kilichonihudhunisha ni umri wa wale mambinti na hapo ndipo nilipopatwa na haya maswali;
Je,wale mabinti ni kweli wote hawana shughuli nyingine ya kuwaingizia kipato zaidi ya kujiuza katika umri mdogo na kuhatarisha maisha yao?
Je,mwenye bar hatambui kuwa ni kinyume na sheria kuruhusu watoto wadogo kuwa bar usiku wa manane na kuwauzia pombe pamoja na kuruhusu kuingia guest na wanaume?
Je,vijana wanaotarajia kuoa,hawa ndo wachumba watakaojenga nao maisha?
Nini hatma ya vita dhidi ya ukimwi na maisha ya vijana?
Lakini,kwa wanaume wanaotembea na hawa mabinti hawajui kwamba wanawabaka kulingana na umri wao kuwa mdogo kisheria kuweza kufanya makubaliano?
BONGO ZAIDI YA NIIJUAVYO......