Mabinti waliolelewa kimayai na changamoto ya mahusiano

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,440
16,242
Mabinti waliolelewa kilelemama/kimayai ni shida sana.

Siku ya kwanza kuonana naye nilimuweka kidogo tuu(almost 20 minutes). Akawa anadai eti amechoka kukaa.

Tukaonana for the first time. Ni binti mwenye early 30's. Ila sasa mambo yake na umri hayaendani.

Hiyo siku tukapiga stori weeeh, nikamsindikiza kwao nami nikaenda kwangu.

Makubaliano yetu yalikuwa ni tuwe friends for benefit. Mwenye shida ni yeye na sio mimi, sababu hana mtu wa kumkuna.

Kupanga appointment ya kubenjuana akadai hawezi sleep-over. Kisa eti hajawahi fanya hivo na akifanya nyumbani watamshangaa sana.

Nikasema sio kesi, tukutane mchana tuu, tupige game letu kila mtu akalale kwake/kwao.

Siku ya siku tukaonana. Kwanza tulipokutania na tulipokuwa tunaenda kutulizana ni kama kilomita 1 sema ni njia ya vilima kidogo.

Nikasema ngoja tutembee tuu, kupanda bajaji/boda kwa kilomita 1 ni uzwazwa. Aiseee, njiani kidogo mtoto wa watu ateme roho.

Akipanda kimlima kimoja anahema balaa. Akawa ananiuliza hatufiki tuu? Jibu langu likawa moja tuu, bado kidogo.

Mpaka kuja kufika kasweat balaa na amefura mnoo kwa kumtembeza.

Ndipo akaanza kunambia hajazoea kutembea umbali mrefu namna ile. Pia isitoshe ana tatizo la presha na yupo kwenye dozi.

Pia akadai hajazoea kufanya kazi ngumu kama kufua, kupika n.k. Nyumbani wanamfuliaga na huwa haingii jikoni kupika.

Hapo alipo ana 90kg. Ana presha na ndio kwanza ana 30's yrs. Nikajiuliza huko ndani si naenda kuua?

Ila nikajipa moyo nikasema ngoja nikajionee itakuwaje.


Part 2 inakuja ya kilichoendea huko ndani.

**********************************************
 
Mabinti waliolelewa kilelemama/kimayai ni shida sana.

Siku ya kwanza kuonana naye nilimuweka kidogo tuu(almost 20 minutes). Akawa anadai eti amechoka kukaa.

Tukaonana for the first time. Ni binti mwenye early 30's. Ila sasa mambo yake na umri hayaendani.

Hiyo siku tukapiga stori weeeh, nikamsindikiza kwao nami nikaenda kwangu.

Makubaliano yetu yalikuwa ni tuwe friends for benefit. Mwenye shida ni yeye na sio mimi, sababu hana mtu wa kumkuna.

Kupanga appointment ya kubenjuana akadai hawezi sleep-over. Kisa eti hajawahi fanya hivo na akifanya nyumbani watamshangaa sana.

Nikasema sio kesi, tukutane mchana tuu, tupige game letu kila mtu akalale kwake/kwao.

Siku ya siku tukaonana. Kwanza tulipokutania na tulipokuwa tunaenda kutulizana ni kama kilomita 1 sema ni njia ya vilima kidogo.

Nikasema ngoja tutembee tuu, kupanda bajaji/boda kwa kilomita 1 ni uzwazwa. Aiseee, njiani kidogo mtoto wa watu ateme roho.

Akipanda kimlima kimoja anahema balaa. Akawa ananiuliza hatufiki tuu? Jibu langu likawa moja tuu, bado kidogo.

Mpaka kuja kufika kasweat balaa na amefura mnoo kwa kumtembeza.

Ndipo akaanza kunambia hajazoea kutembea umbali mrefu namna ile. Pia isitoshe ana tatizo la presha na yupo kwenye dozi.

Pia akadai hajazoea kufanya kazi ngumu kama kufua, kupika n.k. Nyumbani wanamfuliaga na huwa haingii jikoni kupika.

Hapo alipo ana 90kg. Ana presha na ndio kwanza ana 30's yrs. Nikajiuliza huko ndani si naenda kuua?

Ila nikajipa moyo nikasema ngoja nikajionee itakuwaje.


Part 2 inakuja ya kilichoendea huko ndani.

**********************************************

Naona una confuse mtu mnene ambae ni obese na mtu alielewa kwenye middle au upper income family!

Obesity inampata yeyote!

Naona unachanganya mambo!

Na pia,kama upo stage ya kwenda kumtomba demu mnatembea kwa miguu kwenda gesti hiyo biashara ni heri uache ukatafute pesa!
 
Naona una confuse mtu mnene ambae ni obese na mtu alielewa kwenye middle au upper income family!

Obesity inampata yeyote!

Naona unachanganya mambo!

Na pia,kama upo stage ya kwenda kumtomba demu mnatembea kwa miguu kwenda gesti hiyo biashara ni heri uache ukatafute pesa!
Hata familia duni wapo wanaolelewa kimayai.

Najua obesity inampata yeyote ila lifestyle mbaya ndio inachangia 90%.


Unforgetable
 
Uyo anaishu zake tu madem wa kishua nawakubali sana kwanza wanapendaga kuja magetoni kuliko gest yan unamla namkwanja anakipa hata akikupiga kibuti huwa kiroho safi sio kwa nyodo
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom