Mabinti wa Kimanyema wako je?

Hebu jaribu kumuonja ana ladha gani. then utuambie wanaume tunamalizia.
Kabila la Manyema ni moja ya kabila ambalo bado sijapitia, kumbe ni moja ya makabila 120 bongo ee!
 
Umepata mchumba wa kimanyema nini? Binadamu huwa wanatofautiana tabia hivyo ni ngumu sana kuwajaji
 
wako kama binadamu wenginena wana tabia zinazifanania binadamu wengine.kwani umeambiwa wanafanania sokwe wa kike au nyani?
 
Nasikia wanajua majambozzzzzzzzz kama watoto wa kitanga!
ACHA KUPOTOSHA JAMII WEWE TABIA INATEGEMEANA NA INDIVIDUAL also "Tanga nimekaa miaka 5. Tofautisha Kutojidhamini kwa mwanamke na kugawa sana siyo kujua mapenzi ila itabakia kuwa Pwani wana handle mapenzi tofauti sana na watu wa Bara"
 
wewe kweli ni mmanyema? usije kuwa ni mkongo ukajiita mmanyema kama waha wengine walivyo warundi lakini wanajiita waha.

kauli kama hizi huwa zinanikera...basi tu!si wote wa-tz bana mambo ya kuitana wageni wageni tunaanza hadi kubaguana sasa.mbona rostam mnamwita mtanzania safi!!?huh!
 
Back
Top Bottom