Mabinti tumieni vyema dirisha lenu

Nadhani una hoja nzuri sana, sio kwa wanawake tu bali hata sisi me.

Huu ujumbe niliwahi kuushuhudia kwenye jamii ya watu waliostaarabika sana, inaonekana mwanamke ana "value", tena inapanda na kushuka kutegemeana na na muda/umri. Japo sio muumini sana wa hilo, naona wadada above 30 and to me they're so attractive, wamekomaa kifikra na nawaona wapo tayari na wanaweza ku settle, ni swala la kupata yule wanayeendana tu.

Muhimu mtu ajue anachotaka katika maisha yake, choices....just make the right choice, ukibugi hapo ndio inaweza kuwa shida.
 
Mchapaji hatoi chozi

Hautujui sisi tunapotaka mbunye tulivyo wenyenyekevu ila tukishapewa tunaona hauna maajabu tena 😁😁😁

Kumbuka tu "mtaka cha uvunguni sharti ainame" kwa hiyo usishangae kuona akitoa machozi.

Ukitaka ujue kama siyo mchapaji ebu jaribu kama unamkubalia alafu mwambie hamna kula papuchi mpaka akuoe kwanza then uone kama atabaki
 
Umeona eee!

By the way, lengo kuu la ndoa si ni kunyanduana tu? Kwani kama mwanamke hajaolewa hanyanduliwi?

Sasa kama mnyanduano unapatikana hata bila kuingia kwenye ndoa, ndoa ya nini?
oyooooo! there we go
 
Najua kuna watu wameanza kupanick. Simaanishi dirisha ulilowaza wewe, nina maanisha muda maalumu ambao Mwenyezi mungu amewatengea ili kuhakikisha mnapata Mwanaume.

Mwanamke yuko kidogo na utofauti na Mwanaume. Mwanamke ameumbiwa thamani tangu angali tumboni kwa mama yake. Thamani ambayo wala haangaiki kuitafuta, Jukumu lake kuu ni kuilinda na kuitunza thamani hiyo kipindi muda sahihi utakapo wadia. Kwa bahati mbaya zaidi thamani yake hudumu kwa kipindi cha muda mfupi zaidi kuliko ile ya mwanaume

Thamani ya mwanamke (Female Value) huanza hushamiria anapofikia miaka 19 na hufikia kileleni afikapo miaka 26. Hiki ndio kipindi ambacho mwanamke anapata attention ya ziada kutoka kwa wanaume. Ndio kipindi ambacho uzuri na urembo wake hujidhihirisha wazi.

Hiko ndio kipindi ambacho Munu amemuumbia mwanamke kupata mwanaume. Kipindi ambacho atatongozwa na idadi kubwa sana ya wanaume kuliko kipindi chochote kile kwenye maisha yake. Hivyo basi ni vyema mabinti watumie vyema wakati huo. Wanawake wengi wametumia vibaya sana wakati huu.

Dalili za wanawake walio chezea vibaya dirisha hili.

  1. Wengi wao wanashinda makanisani kuombewa wapate wanaume wa kuwaoa.
  2. Wengi wao wamegeuka na kujipa jukumu la kutongoza wanaume hadi jamii inawashangaa.
  3. Wengi wao wanashangaa kwanini hawatongozwi na kshobokewa na ilivyo kipindi cha nyuma.
  4. Wengi wamebebeshwa mimba na kubaki Masingo Maza.
  5. Wengu wameishia kudanga na kupewa magonjwa ya kudumu kama HIV
Ukiuchezea muda huo hakuna atakaye kuadhibu, bali UKUTA wa huo muda ndio utakao kuadhibu. Ewe binti usiruhusu dirisha hili likukute na kukupita bila ya kujichukulia chako mapema.
View attachment 1676544
umeongea kweli
Tatizo ile mtu anajiona mzuri kulikomwingine haijalishi ni Ke au me
 
Kwenye Law Of Diminishing Return ukiisoma vyema huwa inamdadavua mwanamke vizuri mno!

Yaan Mwanamke anapokuwa Peak(miaka 25/6) hivi, Mwanaume ndio anaanza kuinuka anapoanguka/ jioni yake ikiwadia, mwanaume ndio anaanza kuyapata Mafanikio.
 
IMG_2765.jpg
 
miaka 30 mbona bado kijana mdogo sana
Bora umesema, maana sikuhizi wanajikuta Sana hawajui kijana wa kiume anaweza kuoa hata miaka 30 wao wanafikiri kujaliwa makalio kumbe wamesahau hata tivii za chog zilishapita na wakati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom