Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Hajui maana ndo maana kavaa
Huyu hata hajitambui na wala hajui hayo maneno yana maana gani. Ninyi mnaojua maana yake ndo wenye shida kwa hiyo mimi naona kwake ni poa tu.
That's one question the padres and nuns need to ponder on.
JamaniDini yao haijali hata wakienda na chupi tu itakuwa tshet nzuri hiyo?
Mkuu acha dharau kwa dini za watu, ninyi mkisemwa kidogo mnaandamana kwa sababu ya inferiority complex.Dini yao haijali hata wakienda na chupi tu itakuwa tshet nzuri hiyo?
Na sijui hata ikiwa alimweleza maana ya hayo maneno na kwamba asirudie tena kuvaa au alikimbilia kuja kupost JF na kufurahi. Hapo ndio kutakuwa na shida kushinda hata shida ya mvaa Tshirt.Kwahyo alimpiga picha akiwa kanisa?? Aisee
Samahani mkuu basi yupo sahihi!Mkuu acha dharau kwa dini za watu, ninyi mkisemwa kidogo mnaandamana kwa sababu ya inferiority complex.
Tambua hili ni tatizo la mhusika na jamii kutofahamu lugha na bila shaka kwa kuwa hawatambui maana haina tatizo kwao, Shida ipo kwako wewe unayeelewa maana ya hayo maneno.
Sasa hata ukitazama na huelewi kilichoandikwa inasaidia nini. Hapo kijiji kizima pia hakielewi maana yake ndio maana kaweza kukatiza nayo vichochoro kadhaa hadi kanisani alipokutana na Mwanahabari huru kutoka mjini na simu yake kanisani. Msomi wa ngazi ya juu hapo mwalimu Juma wa Limbyondosi Pr School naye hafundishi kizungu.