Mabinti punguzeni kuwaza sana ndoa

Zero Competition

JF-Expert Member
Sep 12, 2018
310
451
Siku hizi ukimtongoza msichana kitu cha kwanza anachofikiria ni kwamba unataka kumuoa kitu ambacho sio kweli.

Binti akimaliza chuo atahangaika kutafuta ajira lakini akiona ajira haipatikani basi atahangaika kutafuta mwanaume wa kumuoa akiamini ndoa itamtatulia matatizo yake mwisho wa siku anaambulia ahadi feki mwishowe anaishia kuchezewa.

Kawaida yetu sisi wanaume ni kwamba tunapomtongoza mwanamke haimaanishi kwamba nimeshaona unafaa kwa ndoa bali nakua nimekutamani sababu nimeona tu una chura mkubwa au umbo zuri na lengo langu kubwa ni kufanya mapenzi na wewe ila ndoa itakuja baadae baada ya mapenzi kuimarika.

Ndoa ni kitu kizuri na ni jambo la kumpendeza mwenyezi Mungu ila binafsi nikiona mwanamke ana uhitaji sana wa ndoa ya haraka kuliko anavyonihitaji mimi napata sana wasiwasi.

Binti unamtongoza leo hata papuchi hajatoa anaanza kuulizia mambo ya ndoa je ukiniuzia mbuzi kwenye gunia, onyesha tabia nzuri na ndoa utaiona inakuja automatically.

Mwenye masikio na asikie
 
Thank you...!
delete post.jpg
delete post.jpg
 
Siku hizi ukimtongoza msichana kitu cha kwanza anachofikiria ni kwamba unataka kumuoa kitu ambacho sio kweli.

Binti akimaliza chuo atahangaika kutafuta ajira lakini akiona ajira haipatikani basi atahangaika kutafuta mwanaume wa kumuoa akiamini ndoa itamtatulia matatizo yake mwisho wa siku anaambulia ahadi feki mwishowe anaishia kuchezewa.

Kawaida yetu sisi wanaume ni kwamba tunapomtongoza mwanamke haimaanishi kwamba nimeshaona unafaa kwa ndoa bali nakua nimekutamani sababu nimeona tu una chura mkubwa au umbo zuri na lengo langu kubwa ni kufanya mapenzi na wewe ila ndoa itakuja baadae baada ya mapenzi kuimarika.

Ndoa ni kitu kizuri na ni jambo la kumpendeza mwenyezi Mungu ila binafsi nikiona mwanamke ana uhitaji sana wa ndoa ya haraka kuliko anavyonihitaji mimi napata sana wasiwasi.

Binti unamtongoza leo hata papuchi hajatoa anaanza kuulizia mambo ya ndoa je ukiniuzia mbuzi kwenye gunia, onyesha tabia nzuri na ndoa utaiona inakuja automatically.

Mwenye masikio na asikie
Daah!! Watoto wa kike pole kwenu jamani, imagine mtu unasoma ili uwe na life zuri
lakin mbaya sana unakua na maisha ya stress usipo pata ajira inayo eleweka, ulkua mtu wa kuvaa miwani ya mbao chuoni, ulkua mtu wa kusuka nywele za gharama 30 plus,,,, mawigi kama yote, yaan sister duu kinyama lakin hata muoaji anakosekana yan vijana wanakuogopa kisa elim yako wakihofia utajifanya mjuaji kwa kila kitu, na ikumbukwe mwanaume anakataaga 50/50% hataki kuwa under you,,,,
my friend mtaani ndo kuna elimu aisee, ikiwa umejiandaa na mtaa vyema utakupokea vyema pia, ila ukijiandaa kijinga na kuwaza kuolewa aisee unakua ume loose some points kwa sababu vijana wengi wa kitaa nao maisha yao ya kuunga unga, pia wanakua wanaogopa madem wahitim wa vyuo. chagua vizuri ukiwa chuo nduguyangu, japo nako huko vyuoni wengine mkishafika mwisho vijana walowengi wanakulaga mita bila kuangalia hata nyuma....


*I will Mary when I want, simply the beautiful ones aren't born yet*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwanamke anae penda kuchezewa na kuachwa....wanawake wanataka security awe na uhakika na wewe.

am better here

We kuna uzi umeufungua unajilaumu kwanini unapata wanaume wa ajabu mwingine leo kakukojolea na kusepa, Wanawake wa kitanzania mkisoma kidogo tu mnataka usalama katika mapenzi ila nyie mkitongozwa mnavuliwa chupi hovyo.
 
Back
Top Bottom