tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Enyi baadhi ya mabinti:-
1. Sio kila mwanaume anayekupa salamu anakutaka kimapenzi!
2. Sio kila Mwanaume anayeku inbox au kuku PM anataka mapenzi nawe!
3. Sio Kila Mwanaume anayeomba namba yako ya simu anataka kukutongoza!
4. Sio kila mwanaume anayekuchangamkia anakutaka!
Enyi baadhi ya mabinti acheni maringo, minato na kujisikia kana kwamba hamfi mkazikwa!
1. Sio kila mwanaume anayekupa salamu anakutaka kimapenzi!
2. Sio kila Mwanaume anayeku inbox au kuku PM anataka mapenzi nawe!
3. Sio Kila Mwanaume anayeomba namba yako ya simu anataka kukutongoza!
4. Sio kila mwanaume anayekuchangamkia anakutaka!
Enyi baadhi ya mabinti acheni maringo, minato na kujisikia kana kwamba hamfi mkazikwa!