samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 682
- 1,016
Ngoja tuvute subira ni kama walisema watamalizia january kwa tuliobaki haki yetu tutaipata kam mh waziri alivyosemaKazi tunafanya,kutulipa inakuwaje ligi mkuu?Inafikirisha sana kwa kweli.Na Mchengerwa mwenyewe anakiri kabisa hela zipo na zimeshatengwa?Nilichogundua Mimi linapokuja suala la fedha ,watendaji wengi wa serikali wanageuka kuwa vikwazo,utadhani labda fedha hizo wanazitoa kwenye mifuko yao.Kumbe ni za serikali kwa ajili ya kulipa stahiki za waliovuja jasho na kutumia damu zao.
KIUKWELI KAMA TAIFA,INABIDI TUJITAFAKARI NA TUJISAHIHISHE SANA.