singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,531
Tusubiri,watajulikana tu.Lowasa hawezi kosa,
Usihofu, mambo yakikaa sawa lazima mishahara itaongezeka na ajira zitaongezeka. Wafanyakazi wenye uwezo wa kununua(purchasing power) wataongezeka na maisha yatakuwa mazuri. Hii ni ndio ndoto ya jpm. Hata biashara zitashamiri.Ikiwa katiba itaheshimiwa na kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu zinafuatwa ipasavyo na kila mmoja wetu ( yaani sekta binafsi na serikalini). Sote tukalipa kodi stahiki na kuzuia mianya yote ya upigaji, amini nawaambia tutaandamana kwa madai maisha ni magumu sana.
Hata wewe na mimi bila kujali ulipo unaishi ukiogelea katika dimbwi la wizi, rushwa ndio maana unaweza kuishi kwa mshahara mdogo.
Alokwambia wameacha nani, Wanaifaidi hata sasaHii nchi kunawatu walikuwa wanaifaidi ni balaaa huku wengine wakifa kwa kukosa dawa..lazima heshima mtaani irudi..
shida tumejenga tabia, na tabia zikatujenga tulivyo. kila mtu anaishi kwa wizi. mfanyabiashara anakwepa kodi ndio maana anaweza kuuza vitu bei ndogo.Usihofu, mambo yakikaa sawa lazima mishahara itaongezeka na ajira zitaongezeka. Wafanyakazi wenye uwezo wa kununua(purchasing power) wataongezeka na maisha yatakuwa mazuri. Hii ni ndio ndoto ya jpm. Hata biashara zitashamiri.
Hivi hiki kipeperushi kinauzwa au wanakigawa bure?
Ccm ni mandumila kuwiliCcm bwana Mlimsakama zitto humu kuwa ni mwongo hakuna waloficha fedha uswisi Na hizi ni zipi
Hii nchi kunawatu walikuwa wanaifaidi ni balaaa huku wengine wakifa kwa kukosa dawa..lazima heshima mtaani irudi..
Kama walituaminisha wamenunua zile mashine pale muhimbili kumbe wameazima watashindwa vipi hili????Tusijidanganye kabisa pesa ya uswisi haitarudi kirahisi kama kufilisi mali za masamaki kule kajiungeni...itachukua muda nguvu na gharama kubwa mpaka kuzipata
shida tumejenga tabia, na tabia zikatujenga tulivyo. kila mtu anaishi kwa wizi. mfanyabiashara anakwepa kodi ndio maana anaweza kuuza vitu bei ndogo.
simu feki zimesaidia sana maana bei yake ndogo lakini zimeathiri biashara halali.
wape bure wafanyabiashara zile vimashine vya risiti atagoma kwa sababu hajazoea kuishi kwa haki.
haki ikifuatwa biashara nyingi zinatosheleza mtu mahitaji muhimu tu sio kubadili magari kila mwaka.
kuuza na kutunza hesabu ya mtaji, faida yake na pesa aliyokusanya kwa ajili ya serikali heheheeeee wataandamana au mgomo kufunga maduka
Hivi hiki kipeperushi kinauzwa au wanakigawa bure?